Je, Walinzi wa Rais aliyefariki huhamia haraka kwa Makamu ambaye atakuwa Rais au ndiyo itakuwa imeshakula kwao?

Hapa ndipo wengi tunapafurahia, "wengine waje huku mtaani tujumuike kwenye kujiajiri"

Tunatamani wengine waumie ili tufurahi, dude fanya kazi...
Waswahili wengi roho za kimasikini tu.
 
Eti Commando na Commander?

Haki life is crazy!!
Kamanda (commander) ni mtu (askari ) mwenye Cheo yani mwenye uwezo wa kukomandi komandoo (Commando) sio cheo bali Askari mwenye mafunzo ya ziada katika medani...najua msiba ni mzito ndo maana sikushangaa ulipokua unacheka cheka kwa mambo ambayo hujayatafiti vizuri
 
Kwa mimi binafsi kuna ukakasi. Kuna mtu nilimuuliza kasema pale hajafa mtu yeyote kwa wiki mbili hizi. Wote ni wazima na wanaendelea kuchapa kazi.
Kuna mtu miongoni mwa hao kanijibu kuwa jamaa yupo hai
 
Magufuli was assassinated. He was targeted.
We need enough time to dwell in more on this, because why is it that all of his Closiet Executives in the Office have also passed away in a Shocking way?

You're not that far from the Hidden truth.
 
Mmi nko Nkanaledi ni sehen gni
 
Sawa
 
Time will tell
It just perfectly timed.


Kijazi was Gone then Katibu wa Rais, and then Bashiru akachaguliwa kuwa katibu mkuu kiongozi which means CCM ilikuwa inaenda Kuwa na katibu mkuu mpya, CCM is one of strongest Institution na ndio wanafasi ya kuwasaidia wananchi au kuwanyonya wananchi.

Ili hao watu kupata ushawishi ndani ya CCM lazima wapate uungwaji mkono na Mwenyekiti na isingekuwa rahisi kwa mwenyekiti jasiri kama huyu.

So technically CCM ina ombwe la Mwenyekiti(Mama Samia ana nafasi kubwa sana) na Katibu Mkuu (huyu anaweza kutotoka kundi lolote).

Sina shaka na kamati kuu ya halimashauri kuu ya CCM hii kwa kiwango kikubwa ndio iliyomsaidia Magufuli kuwa madarakani na ndio iliyomlinda Magufuli Kisiasa.

Ili ibaki kwenye nguvu yake (naomba hivyo pia) inapaswa iombe msaada wa Jeshi au kanali Lubinga atumie utashi wake wa Kijeshi, Pia Ndugai kama Spika.

Na mwisho hii inaweza kuwa vita ya Mabwanyenye na Wazalendo
 
Nimekupata sana mkuu
 
Dogo una kaujuaji fulani ka kiduanzi, basi na wewe unaona kuna unachowafundisha Jf nzima hapa sio
 
Mbona kama una stress?
 
Mods siku hizi wamesahau majukumu yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…