Je, Walinzi wa Rais aliyefariki huhamia haraka kwa Makamu ambaye atakuwa Rais au ndiyo itakuwa imeshakula kwao?

Pamoja na ulinzi woooote, nilichokua namkubali Magu, na yeye alikua hakosi ka mguu ka kuku kiunoni, ili ikitokea hali imekua mbaya basi atajitetea mwenyewe, hiki nadhani ni kitu kigeni kwa marais wetu waliopita, sidhani kama ben wala kikwete kati yao kuna mtu alikua anatembea na mguu wa kuku.

Mara nyinga siku akibeba mguu wa kuku alikua anavaa koti halafu halifungi vifungo
 
Wamepoteza nn unadhani ile kazi ni rahisi, ile kazi inachukua muda wako mwingi, starehe utaisikia na hata muda na familia yako utaukosa ndo maana raisi anapostafu au kutoka nao inabidi wapumzishwe..
vipi mshahara wao mkuu?scale zinasoma.mpaka 7m au
 
Na miili mikubwa vile karate zimo?
 

You are such a Wasted Sperm on Earth.
 
All - Rounder pole sana mkuu, naona makombora ya kufa mtu yanakuchapa toka kila kona, 😁!.

Unavyochapwa Wewe 24/7 na Basha wako ndiyo unadhani ni Wote Ndugu. Mara nyingi sana tu huwa Unawashwawashwa na Mimi hapa JF. Kuwa makini usije Kunilaumu tu sawa?
 
Unavyochapwa Wewe 24/7 na Basha wako ndiyo unadhani ni Wote Ndugu. Mara nyingi sana tu huwa Unawashwawashwa na Mimi hapa JF. Kuwa makini usije Kunilaumu tu sawa?
Anzisha forum yako na uchague aina ya watu wa kujinga otherwise pole sana, shusha matusi tani yako.

Kumbuka kumuuliza your mom kuhusu mimi (through my name) atakupa taarifa zote kisha njoo kwa hishima hapa.
 
Umri umeshawatupa mkono kwenda officer cadet.ila vijana hawajui kuwa jwtz ndio kila kitu.
 
Na ndio watakaomlinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…