ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,154
- 4,184
Sijui kama ni tafsiri sahihi ili kuna wanaosema wamachinga maana yake ni wazururaji,watembea hovyo. Je, kuna ukweli kwenye hili?
Binafsi nafikiri kuna ukweli kwamba Wamchinga ni watu wavivu, ambao wanajificha mjini kufanya kazi ambazo hazina tija.Wamchinga wa zamani walikuwa wanabeba maduka yao begani ila hawa wasiku hizi wanajaa kwenye barabara za magari na njia za waenda kwa miguu.
Je, ni sahihi kusema kwamba sasa Wamachinga wanaozagaa kwenye maeneo ambayo sio maalum waondoshwe kwa sababu ya uvivu na uzembe na uchafuzi wa mazingira?
Pamoja na ni kwamba nina mtazamo wangu lakini napenda tujadili kwa kina.
Binafsi nafikiri kuna ukweli kwamba Wamchinga ni watu wavivu, ambao wanajificha mjini kufanya kazi ambazo hazina tija.Wamchinga wa zamani walikuwa wanabeba maduka yao begani ila hawa wasiku hizi wanajaa kwenye barabara za magari na njia za waenda kwa miguu.
Je, ni sahihi kusema kwamba sasa Wamachinga wanaozagaa kwenye maeneo ambayo sio maalum waondoshwe kwa sababu ya uvivu na uzembe na uchafuzi wa mazingira?
Pamoja na ni kwamba nina mtazamo wangu lakini napenda tujadili kwa kina.