Je, wamjua Binadamu anayeongoza kufanya mema na binadamu anayeongoza kufanya mabaya duniani?

Je, wamjua Binadamu anayeongoza kufanya mema na binadamu anayeongoza kufanya mabaya duniani?

Deejay nasmile

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2011
Posts
5,794
Reaction score
5,352
Binadamu tumeumbiwa mapungufu na kila mmoja ana yake.

Ila tumezidiana kwa kiwango fulani..

Kuna mwingine anapenda kula chakula kingi...ila hapendi kuona mtu kavimbiwa.

Kuna mwingine anapenda muziki mzuri ila hawapendi wanamuziki.

Kuna mwingne anapenda dini sana lakini hapendi kushiriki.

Kuna mtu anaweza kushabikia timu flani kumbe kwa sababu anamkubali kocha/mchezaji fulani

Kuna mwingine hapendi rushwa lakini ni dalali maarufu.

Je, kwa hapa duniani ni binadam gani ambaye anakubalika sana (sio lazima %100 ila possesion izidi kwake) kwa kufanya vitu/mambo ambavyo wengi tumevikubali,tunavikubali na vitakubalika daily.

Na ni binadamu gani amefanya vitu/mambo mabaya kuliko wote tangu kuumbwa kwa dunia.

NB:
NASISITIZA BINADAMU ALIYEFANYA MEMA ZAIDI VS ALIYEFANYA MABAYA ZAIDI

Dini/imani zisihusike .....

kwa sababu forbes na guiness book of record wamekaa kimya...basi sisi tuwataje hapa..
 
Kura ya watenda mabaya itawaangukia wanasiasa.

Kura ya mema itawaangukia viongozi wa dini.

Yaani hadi umri huo hujui wanasiasa na Viongozi wa dini Lao moja?..
Wote wanakupiga neno utoe sadaka na wengine utoe kodi...

Watu wema labda wanaotoa huduma hata kama mshahara hautoshi au walipwi kabisa
Madaktari ..wauguzi..walimu..

Walimu wanalea mwanao...
Kazi wanayofanya hailingani na mshahara..
Wanamfunza mtoto vitu ambavyo havipo kwenye mitaala kama heshima..kujiamini..upendo na kadhalika..

Walimu hasa wa wa chekechea na msingi..wengi wao wanajitolea zaidi..
Watoto hadi kujisaidia huko ni ni kazi za walimu..we uko ofisin au nyumbani Una chat
 
Yaani hadi umri huo hujui wanasiasa na Viongozi wa dini Lao moja?..
Wote wanakupiga neno utoe sadaka na wengine utoe kodi...

Watu wema labda wanaotoa huduma hata kama mshahara hautoshi au walipwi kabisa
Madaktari ..wauguzi..walimu..

Walimu wanalea mwanao...
Kazi wanayofanya hailingani na mshahara..
Wanamfunza mtoto vitu ambavyo havipo kwenye mitaala kama heshima..kujiamini..upendo na kadhalika..

Walimu hasa wa wa chekechea na msingi..wengi wao wanajitolea zaidi..
Watoto hadi kujisaidia huko ni ni kazi za walimu..we uko ofisin au nyumbani Una chat
Dah naunga mkono hoja!
 
Yaani hadi umri huo hujui wanasiasa na Viongozi wa dini Lao moja?..
Wote wanakupiga neno utoe sadaka na wengine utoe kodi...

Watu wema labda wanaotoa huduma hata kama mshahara hautoshi au walipwi kabisa
Madaktari ..wauguzi..walimu..

Walimu wanalea mwanao...
Kazi wanayofanya hailingani na mshahara..
Wanamfunza mtoto vitu ambavyo havipo kwenye mitaala kama heshima..kujiamini..upendo na kadhalika..

Walimu hasa wa wa chekechea na msingi..wengi wao wanajitolea zaidi..
Watoto hadi kujisaidia huko ni ni kazi za walimu..we uko ofisin au nyumbani Una chat
Ila turudi pale pale kwenye neno " Kura.

Hilo jambo lingefanyika randomly majibu yangekuwa hapo kiongozi.

dini isihusike mkuu

Ndio maana nimetumia neno "Kura"
 
Adolf Hitler - NAZI


Idd Amin Dada - Uganda


Makaburu - South Africa
 
Yaani hadi umri huo hujui wanasiasa na Viongozi wa dini Lao moja?..
Wote wanakupiga neno utoe sadaka na wengine utoe kodi...

Watu wema labda wanaotoa huduma hata kama mshahara hautoshi au walipwi kabisa
Madaktari ..wauguzi..walimu..

Walimu wanalea mwanao...
Kazi wanayofanya hailingani na mshahara..
Wanamfunza mtoto vitu ambavyo havipo kwenye mitaala kama heshima..kujiamini..upendo na kadhalika..

Walimu hasa wa wa chekechea na msingi..wengi wao wanajitolea zaidi..
Watoto hadi kujisaidia huko ni ni kazi za walimu..we uko ofisin au nyumbani Una chat
Ni ukweli mtupu,wasema mchungaji,mwanasiasa,tapeli karama yao ni moja(talanta).
 
Mtu mwema ni yule msamaria mwema wa yesu kwangu mimi

na mtu mbaya ni samsoni maana aliua watu wengi sana mpaka siku anakufa aliomba afe na kijiji 😂😂😂😂

Samahani jamani 🙌🙌
 
Yaani hadi umri huo hujui wanasiasa na Viongozi wa dini Lao moja?..
Wote wanakupiga neno utoe sadaka na wengine utoe kodi...

Watu wema labda wanaotoa huduma hata kama mshahara hautoshi au walipwi kabisa
Madaktari ..wauguzi..walimu..

Walimu wanalea mwanao...
Kazi wanayofanya hailingani na mshahara..
Wanamfunza mtoto vitu ambavyo havipo kwenye mitaala kama heshima..kujiamini..upendo na kadhalika..

Walimu hasa wa wa chekechea na msingi..wengi wao wanajitolea zaidi..
Watoto hadi kujisaidia huko ni ni kazi za walimu..we uko ofisin au nyumbani Una chat
Umemtandika sindano za moto.
 
Yaani hadi umri huo hujui wanasiasa na Viongozi wa dini Lao moja?..
Wote wanakupiga neno utoe sadaka na wengine utoe kodi...

Watu wema labda wanaotoa huduma hata kama mshahara hautoshi au walipwi kabisa
Madaktari ..wauguzi..walimu..

Walimu wanalea mwanao...
Kazi wanayofanya hailingani na mshahara..
Wanamfunza mtoto vitu ambavyo havipo kwenye mitaala kama heshima..kujiamini..upendo na kadhalika..

Walimu hasa wa wa chekechea na msingi..wengi wao wanajitolea zaidi..
Watoto hadi kujisaidia huko ni ni kazi za walimu..we uko ofisin au nyumbani Una chat
Habari yako mwalimu[emoji16]
 
Yaani hadi umri huo hujui wanasiasa na Viongozi wa dini Lao moja?..
Wote wanakupiga neno utoe sadaka na wengine utoe kodi...

Watu wema labda wanaotoa huduma hata kama mshahara hautoshi au walipwi kabisa
Madaktari ..wauguzi..walimu..

Walimu wanalea mwanao...
Kazi wanayofanya hailingani na mshahara..
Wanamfunza mtoto vitu ambavyo havipo kwenye mitaala kama heshima..kujiamini..upendo na kadhalika..

Walimu hasa wa wa chekechea na msingi..wengi wao wanajitolea zaidi..
Watoto hadi kujisaidia huko ni ni kazi za walimu..we uko ofisin au nyumbani Una chat
Kwenye mitaala yetu ipo usipotoshe mkuu..
 
Back
Top Bottom