WanzukiNamba 2 mweke mshikaji yulee awakilishe East Africa.
Kwa mabaya yupo mzee mmoja mweusi kutoka chatoKura ya watenda mabaya itawaangukia wanasiasa.
Kura ya mema itawaangukia viongozi wa dini.
Na ni binadamu gani amefanya vitu/mambo mabaya kuliko wote tangu kuumbwa kwa dunia.
HahahahhaNani huyu anayepigwa hivi? Amekosa nini? Au ndio wasiojulikana?
Ni nani huyu anaepigwa hivi? Amekosa nini? Kwanini wenye kumpiga wanasema "atatuharibia kazi" kazi gani? Na ame' post neno "kimeumanaaa" wapi? Ndiyo kosa lake? Anaefahamu kisa hiki atusaidie, tufahamu. Namba za gari ni T 777 BWS. Hii si ni kama huyu jamaa ametekwa na anachezea kipigo, What if...www.jamiiforums.com