Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Mimi nauliza kwenye kituo cha anga huko juu na wao pia wana usiku na mchana na wanatumia saa kama huku duniani? Maana wanakua wametoka kwenye mfumo wa dunia wa kuzunguruka kupata usiku na mchana.
Nasubiri maarifa yenu wana jamvi kuu, JamiiForums, kisima cha maarifa
Nasubiri maarifa yenu wana jamvi kuu, JamiiForums, kisima cha maarifa