Je, wanaanga waliopo kwenye kituo cha anga cha kimataifa, International Space Station wanapata usiku na mchana?

Je, wanaanga waliopo kwenye kituo cha anga cha kimataifa, International Space Station wanapata usiku na mchana?

Hapana Madame Mrembo... Wakati Wa kutoka Ardhini ndo wanaisikia mgandamizo Kwenye Viti lakini kadiri wanavyosogea wanazoea na chombo kikifika constant Speed basi hawahisi Chochote Tena. Kikawaida Mtu huhisi speed Ukiwa Ndani ya chombo pale kitakapo ongeza au Kupunguza Speed
Thanks, lakini mbona tukiwa kwenye ndege tuhisi kabisa mwendo?
 
Je wana feel hiyo speed? Ukiwa kwenye gari, likisimama unajua, likiongeza mwendo unajua, na mwendo ukiwa mkali sana unajua. Je vipi ukiwa kwenye hiyo satellite?
Hawasikii kitu. Maana ukiwa kwenye kasi ambayo ni mfululizo huisikii, kama ni dogo au kubwa. Tunasikia mchapuko tu (hasi au chanja) yaani badiliko la kasi.

Ukiwa kwenye gari zuri tena kwenye barabara nzuri (ambako huhitaji kupiga breki shauri ya mashimo au bump) unaweza kwenda 120 na husikii kitu, sawa na kasi 30.
 
Thanks, lakini mbona tukiwa kwenye ndege tuhisi kabisa mwendo?
Inategemea na ndege na hali ya hewa. Kwa kawaida (pasipo upepo mkali unaotikisisha ndege), kwenye ndege kubwa unaelea kwenye kimo cha mita 11,000 kwa kasi ya km/h 900 bila kusikia chochote.

Ukitembea ndani yake, mfano kutoka kiti chako hadi bafuni, unatembea kawaida kabisa bila kusikia kitu. (Isipokuwa upepo unatikisiha ndege, ambako unasikia badiliko la mchapuo)
 
Hawasikii kitu. Maana ukiwa kwenye kasi ambayo ni mfululizo huisikii, kama ni dogo au kubwa. Tunasikia mchapuko tu (hasi au chanja) yaani badiliko la kasi.
Ukiwa kwenye gari zuri tena kwenye barabara nzuri (ambako huhitaji kupiga breki shauri ya mashimo au bump) unaweza kwenda 120 na husikii kitu, sawa na kasi 30.
Audi Q7
 
Hapana Madame Mrembo... Wakati Wa kutoka Ardhini ndo wanaisikia mgandamizo Kwenye Viti lakini kadiri wanavyosogea wanazoea na chombo kikifika constant Speed basi hawahisi Chochote Tena. Kikawaida Mtu huhisi speed Ukiwa Ndani ya chombo pale kitakapo ongeza au Kupunguza Speed

Safi [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]…nilitaka nimjibu at constant velocity huwezi feel speed…
 
The ISS orbits Earth every 90 minutes. So, instead of receiving 12 hours of light followed by 12 hours of dark, astronauts experience 45 minutes of light followed by 45 minutes of dark. That's 16 sunrises and sunsets each day!


Safi sana...
 
Safi [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]…nilitaka nimjibu at constant velocity huwezi feel speed…
Naam...ni kama vile tu jinsi ambavyo hatuhisi speed ya dunia ikizunguka jua...30km per second. Kwa vile everything on the planet navyo pia vinasafiri kwa speed hiyo hiyo.
 
Je wana feel hiyo speed? Ukiwa kwenye gari, likisimama unajua, likiongeza mwendo unajua, na mwendo ukiwa mkali sana unajua. Je vipi ukiwa kwenye hiyo satellite?
hawa feel sababu hakuna gravity, mtu anayeelea hawezi ku feel hayo mambo, wao hata chooni huenda kwa makini vinginevyo mkojo utasambaa kwenye hiko chombo
 
Na vipi? Kuhusu umri na kuzeeka ki mwili je? Lipo sawa na sisi tulipokuwepo huku chini
yah hilo lipo sawa kwakuwa huwa wanaenda huko kwa muda mfupi na kurudi duniani hakuna mtu amewahi kuishi huko miaka mingi
hata hivo NASA wana vifaa mpaka vya mazoezi huko juu,na kila kitu kipo recycled kuanzia mkojo,jasho nk,yani ukikojoa mkojo unaprocessiwa na kuwa maji ya kunywa,ukitoa jasho linaprocessiwa na kuwa maji ya kunywa na ukienda chooni hakitupwi
 
yah hilo lipo sawa kwakuwa huwa wanaenda huko kwa muda mfupi na kurudi duniani hakuna mtu amewahi kuishi huko miaka mingi
hata hivo NASA wana vifaa mpaka vya mazoezi huko juu,na kila kitu kipo recycled kuanzia mkojo,jasho nk,yani ukikojoa mkojo unaprocessiwa na kuwa maji ya kunywa,ukitoa jasho linaprocessiwa na kuwa maji ya kunywa na ukienda chooni hakitupwi
Choo Kina kuwa processed kuwa nini?
 
Back
Top Bottom