Je, wanaharakati wa kisiasa barani Afrika wanapigania kwa dhati mabadiliko ya kidemokrasia au maslahi yao binafsi?

Mimi naona kama demokrasia ni mkakati wa mataifa ya magharibi kusimika ajenda zao kwenye mataifa mbali mbali baada ya kuweka vibaraka wao.........ukitazama wanasiasa wanaoungwa mkono na mataifa ya magharibi wanabeba ajenda ambazo hata kwenye jamii za kiafrika ni kituko.......kama ndoa za jinsia moja!!!!
 
Mwafrika ni dhaifu mbele ya pesa. Tofauti na wenzetu wao Jamii kwanza sisi tumbo kwanza. Thus si ajabu kumkuta mtawala wa kiafrica anaomba pesa nchi iwe masikini anaficha ulaya eti anawekea kizazi chake utadhani nae aliwekewa utajiri na baba yake
 
Mwafrika ni dhaifu mbele ya pesa. Tofauti na wenzetu wao Jamii kwanza sisi tumbo kwanza. Thus si ajabu kumkuta mtawala wa kiafrica anaomba pesa nchi iwe masikini anaficha ulaya eti anawekea kizazi chake utadhani nae aliwekewa utajiri na baba yake
Mkuu, does Africa has its own definition of democracy?
 
Ndoa ya jinsia moja ni kitu ambacho sitakuja kukubaliana nacho mpaka siku ninaingia kaburini. Mark my words.
 
CHADEMA ndio waliotaka kuingia na kuitafuna hii nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…