Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kihasibu tunaiweka kwenye "RECONCILLIATION STATEMENT"Kihasibu sijui itakuwa imekaaje?!
Kihasibu ni kuwa Makolo wanabebwaKihasibu sijui itakuwa imekaaje?!
Ambayo inamaanisha Nini Kwa wasiosoma?? Kama kinaKihasibu tunaiweka kwenye "RECONCILLIATION STATEMENT"
Wanatuharibia ligi mkuuMbumbumbu wanashangilia
Ni fedheha mkuuWamefuta na magoli? Simba kanyang'anywa pointi?
Kama hawajafuta magoli hizo siyo shida zetu . Kaa kwa kutulia hiyo ndiyo Maana halisi ya UBAYA UBWELA .
Lakini waliotangulia pia wanafungia marefa wakifanya makosa kama hayo yule refa alietoa kadi kimakosa ya Bellingham akidhani katukanwa alifungiwa..Wenzetu waliotangulia kadi inafutwa pale pale uwanjani na VAR..huku bara la giza sio ajabu kama refa alifanya kosa la kibinadamu...ajabu kubwa ni singida kununua wachezaji na kuwapa yanga!
Yule ndio refa alimaliza mpira huku Simba ikiwa inashambuliwa wapigwe goli la tatu na Coastal kama unakumbuka baadae akaanza kucheka tu akiulizwa alichokifanya maana ziliongezwa dakika wakiamini Simba ataongeza goli baadae wakawa wanashambuliwa wao na refa wao walimaliza mpira kabla ya muda.Ambayo inamaanisha Nini Kwa wasiosoma?? Kama kina
Kalpana
Scars
Isanga family
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Makosa ya kibinadamu uwa yanajitokeza kwa Simba tu mara zote sio,,kwanini yasitokee na kwa timu nyingine?Wenzetu waliotangulia kadi inafutwa pale pale uwanjani na VAR..huku bara la giza sio ajabu kama refa alifanya kosa la kibinadamu...ajabu kubwa ni singida kununua wachezaji na kuwapa yanga!
Unamdanganya nani? Weka hio habar hapa ya refa huyo wa Spain aliechezesha hio mechi kufungiwa. ..na kudhibitisha habar yako kua hio kadi nyekundu ilikua kimakosa ...Lakini waliotangulia pia wanafungia marefa wakifanya makosa kama hayo yule refa alietoa kadi kimakosa ya Bellingham akidhani katukanwa alifungiwa..
Uliowataja wote hapo wamekuzidi mpaka maisha achilia mbali elimu...Ambayo inamaanisha Nini Kwa wasiosoma?? Kama kina
Kalpana
Scars
Isanga family
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app