Je, wanaSimba mnasemaje Baada kufutwa kwa kadi nyekundu?

Je, wanaSimba mnasemaje Baada kufutwa kwa kadi nyekundu?

Mchezaji wa Namungo kapewa red card kabla timu yake kufungwa (0-0), baada ya red card timu ikabaki na wachezaji pungufu na kufungwa magoli 3. Maana yake Kuna uhusiano kati ya red card na timu kufungwa.

Kama kadi imefutwa kwanini mchezo usirudiwe (ufutwe)? Kwanini magoli na points zibakie vile vile? Funzo litakuwa nini?
Wanao tafsiri hizo sheria wanaakili za kutafsiri red card tu na sio matokeo, hasi ama chanya ya red card, kikikiki
 
Mchezaji wa Namungo kapewa red card kabla timu yake kufungwa (0-0), baada ya red card timu ikabaki na wachezaji pungufu na kufungwa magoli 3. Maana yake Kuna uhusiano kati ya red card na timu kufungwa.

Kama kadi imefutwa kwanini mchezo usirudiwe (ufutwe)? Kwanini magoli na points zibakie vile vile? Funzo litakuwa nini?
Sahihi mkuu

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Uliza, mwamuzi anasemaneje maana yeye ndio aliyempa mchezaji wa Namungo, hivi mashabiki wa Simba sc walikuwa watazamaji/wasikizaji siku ya mechi.
 
Back
Top Bottom