Je, wanaSimba mnasemaje Baada kufutwa kwa kadi nyekundu?

Wanao tafsiri hizo sheria wanaakili za kutafsiri red card tu na sio matokeo, hasi ama chanya ya red card, kikikiki
 
Sahihi mkuu

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Uliza, mwamuzi anasemaneje maana yeye ndio aliyempa mchezaji wa Namungo, hivi mashabiki wa Simba sc walikuwa watazamaji/wasikizaji siku ya mechi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…