This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Wewe kenge ukawa lini shabiki wa Simba?.Maka*io yako.Mimi kama mdau wa soka na shabiki ndaki ndaki wa Simba (makolo in prular form) natumia pale makolo wenzangu wanapofurahia ushindi wa kubebwa na refa.
Tunazidi kuiharibu timu yetu .. imagine Jana tumeingiza Hadi nyota wa kimataifa, wachezaji wenye mvi, bado tukabebwa na refa lakini bado tume hustle kushinda.
NB: Bora hata wenzetu Yanga walipeleka kikosi C & D na mwakani naskia kwenye mapinduzi Yanga watapeleka Yanga princess.
Kakutane na mama yako Utopolo mbwa wahedi. Nimekutukana!Matokeo yake tukikutana na Yanga ...tunakandwa Tena....5 [emoji113]
Ndo hivyo mkuu...na bado mechi za mikoani zinatudaiView attachment 2868260
Hakuna jipya kwny mpira wa miguu
Makolo hawaelewiMwenyekiti wa kamati ya waamuzi mapinduzi cup akiwa anahojiwa na vyombo vya habari anasema, Baada ya mechi ya Simba vs Singida kumalizika Kamati walijaribu kupitia marejeo ya tukio la Kona ya utata iliyo zaa goli na walibaini haikustahili kuwa Kona.
Kilichotokea ni makosa ya kibinadamu.
We kumbe ni UTO.Kushinda ni furaha day .....but mbinu zilizotumikabndo aibu
Singida hawakuwa na uhitaji nazoHivi zile dakika waliongezwa Simba peke yao au wote pamoja na Singida FG?
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Wewe utachangia sh. ngapi?Tushinikizw uongozi ulete quality players
Mjukuu wa mzee mpili mbona una shobo sana?😄😄😄Mimi kama mdau wa soka na shabiki ndaki ndaki wa Simba (makolo in prular form) natumia pale makolo wenzangu wanapofurahia ushindi wa kubebwa na refa.
Tunazidi kuiharibu timu yetu .. imagine Jana tumeingiza Hadi nyota wa kimataifa, wachezaji wenye mvi, bado tukabebwa na refa lakini bado tume hustle kushinda.
NB: Bora hata wenzetu Yanga walipeleka kikosi C & D na mwakani naskia kwenye mapinduzi Yanga watapeleka Yanga princess.
Lini umehamia kwa mkopo Simba?Simba ni yetu....ila lazima tuseme ukweli