Gadem🤣🤣🤣🤣Hapana mkuu Toka kitambo ....enzi hizo Simba inaitwa queens before kuitwa Sunderland
Yes, endeleeni kujilazimisha furaha ingawa moyoni mna majonzi 🐒Mimi kama mdau wa soka na shabiki ndaki ndaki wa Simba (makolo in prular form) natumia pale makolo wenzangu wanapofurahia ushindi wa kubebwa na refa.
Tunazidi kuiharibu timu yetu .. imagine Jana tumeingiza Hadi nyota wa kimataifa, wachezaji wenye mvi, bado tukabebwa na refa lakini bado tume hustle kushinda.
NB: Bora hata wenzetu Yanga walipeleka kikosi C & D na mwakani naskia kwenye mapinduzi Yanga watapeleka Yanga princess.
na kuikosa Yanga Finale 🐒Sahihi Mkuu...majonzi yanatokana na timu yetu Simba kushinda Kwa mbeleko
Shangilia sasa na utembee kifua mbele kwamba mna kikosi kipana 🐒Unakatwa utopolo mlitaka tuachie kombe msimu huu Kila kombe letu hili la pili
Huyu dogo anaikubali sana SimbaMkuu mbona jana ulipotea ghafla wakati tulikuwa tunaenda vizuri tu na updates? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2868145
Wydad haijafa ilifunga bao kwny mechi yake na Simba muda umeishaa...In long run tunaua timu
Laban weeee nitake radhi sema umemchakata mdg wangu..Jana hasira zote ....nmehamishia Kwa mama Ako mdogo....nmemchakata usiku mzima[emoji23]
Hata ikijifia haiwezi kufanana na Yanga.. 🐸 🐸 😀Kumbe hufuatilii mpira
Wydad saizi imejifia saiz inastrugle
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata ikijifia haiwezi kufanana na Yanga.. [emoji196] [emoji196] [emoji3]
Ukisia muhaho ndo huu wameupata hawa Utopwile...yani wamekua kama hawajielewi wanataka na sisi tuteseke ili iwejee ss tumefurahia mbaya... 😂 😂 😂 😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ujue hadi sasa sijaelewa Uto wanalalamika juu ya nini?
Mara Refa mara Kagere...