Je, Wanaume mnapendelea 50/50 Au kutekeleza majukumu yako yote?

Je, Wanaume mnapendelea 50/50 Au kutekeleza majukumu yako yote?

Kama kidume lazima nitekeleze majukumu yangu yote katika hali yoyote ile.




Alisikika kijana mmoja😂
 
Mimi vyovyote sawa, au kama anachanganya ufeminism na ukienyeji kidogo, pia sawa

Kwanza unaweza kubisha kila mtu siku hizi ni feminist. Wanawake wanasoma, wanaongoza, wanamiliki mali na hakuna anaepinga....

Feminism imekubalika kwenye nyanja zote kasoro mahusiano
 
Back
Top Bottom