LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
aliondoka kwangu kwa majivuno, huyo jamaa ake mpya akampokea kwa shangwe wakaanza mapenzi na wamezaa mtoto, mi nami nakula huyo mwanamke ili kumkomoa tu aliyemuoa ex wangu. Akiachwa hana nafasi kwangu ya kuishi pamoa, mi nitakuwa namlia nje huko huko alikoHuyo malaya atavuna atachopanda,
Ataachwa na huyo jamaa af atabaki kudanga.