LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
tuna akili timamu, ni ongezeko tu la penzi letuWote wasili mnashida ya kimaadili na akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tuna akili timamu, ni ongezeko tu la penzi letuWote wasili mnashida ya kimaadili na akili
Wanayataka wenyewe😑😑, Acheni kuharibu wake za watu mkuu,
Sasa we uwo mtori unaupata wapi na uku ni msimbe😃😃 Nouma sana, tuendelee kula mtori
Mpe location tusaidiane kulipia vikoba aseeee😁😁, hapa ninapo kaa, wake za watu wapo wengi, na madeni ya vikoba yanasumbua sana, namlipia kikoba- nakula mbususu 😂
Ndio maana kama umeoa au una mpenzi basi usimruhusu hata kidogo kuwasiliana na ex wake kama una roho ndogo basi kaa mbali na singo maza, utakufa presha.
Mimi kuna ex wangu tulipendana mno mno, ila kulitokea mazingzong yule dem akaja kuolewa.
Alipoolewa alinifutilia mbali kwasababu alijua fika mrugaruga mimi nisingemuoa.
Na hiki kimemsaidia sana, hatuna mawasiliano kabisa mpaka leo.
Na hii ndio njia pekee ya mwanamke kutoliwa na ex wake, ex wake anamjua udhaifu wake hata aseme sijui ni urafiki tu hamna kitu huo ni UONGO. Jamaa akitekenya tu imoo.
Mimi kuna ex wangu tulipendana mno mno, ila kulitokea mazingzong yule dem akaja kuolewa.
Alipoolewa alinifutilia mbali kwasababu alijua fika mrugaruga mimi nisingemuoa.
Na hiki kimemsaidia sana, hatuna mawasiliano kabisa mpaka leo.
Mnaruka ukuta?tuna akili timamu, ni ongezeko tu la penzi letu
hapana, haturuki ukutaMnaruka ukuta?
Haya ila muoner mwanaume mwenzio huruma, wanawake ni wengi sanahapana, haturuki ukuta
sasa kama yeye alichukua koloni langu nililolipenda mi nifanyaje? Nalipa kisasi ili naye aone uchungu kama mimi nilivyoonaHaya ila muoner mwanaume mwenzio huruma, wanawake ni wengi sana
Tunajuana mkuu, sio rahisi kuchomoa kwa anaekujua vyedi.😃😃😃, Warugaruga siyo watu zuri kabisa, Na alijua kabisa akiendelea kuonana na wewe, lazima utamtafuna tu iwe, isiwe.
Miki cjaona uku labda wajificha😁😁, Hata location ya hapo mtaani, wapo wengi tu, wachunguze vizuri mku.
Ukioa utafuta kauli, kuchapiwa kunauma😁😁😁, Mbususu hata ikiliwa haiwezi kuisha mkuu