Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
SHukrani zimfikie Max Melo kuliwezesha hil la kuwa pamoja hapa jukwaanTuko pamoja mkuu🫶
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SHukrani zimfikie Max Melo kuliwezesha hil la kuwa pamoja hapa jukwaanTuko pamoja mkuu🫶
Pole sana dear..Mda bado ninao kumbe ni mapema sana kidonda bado kibichi
✌️SHukrani zimfikie Max Melo kuliwezesha hil la kuwa pamoja hapa jukwaan
Pole sana mkuu, mapenzi ni Active force.. Yakiamua kuumiza yanaumiza kweli...
Nimejiweka pembeni,Mungu asaidiePole sana dear..
Jitahidi usifanye kitu ili kumuumiza😁😁maana utazidi kuteketea ndugu yangu
Binadamu wote si malaya. Bado jamii zetu zina wanawake na kinamama wachaMUNGU wanaotunza heshima zao na wasioendekeza umalaya. Ni suala la kuwa na bahati ya kukutana nao.Mkuu, basi tuseme binadamu wote ni malaya tu, Maana hii si mke wa mtu, si mme wa mtu.. Ex ni mhalibifu sana.
Kama unaweza kujipeleka vacation pekee yako just to clear your head tafadhali do that it helps a lot.usisahau kusali.Nimejiweka pembeni,Mungu asaidie
😟, hizo ni bahati na sibu, ni sawa na kucheza BIKO au TatuMzuka alafu upate ushindi.Binadamu wote si malaya. Bado jamii zetu zina wanawake na kinamama wachaMUNGU wanaotunza heshima zao na wasioendekeza umalaya. Ni suala la kuwa na bahati ya kukutana nao.
Swali ni unastahili kuwa na mwanamke asiye malaya?
Sijasahau nilimuelekeza tu nika muteAisee, ile misuko suko yote ya zamani tayari umesha sahau ndani ya sekunde moja.
KabisaKabisa mkuu, songa mbele, maisha ni haya haya,
Maisha mazuri lazima yaambatane na bahati.😟, hizo ni bahati na sibu, ni sawa na kucheza BIKO au TatuMzuka alafu upate ushindi.
😀😀😀😀ilaMBona tumeshona..sema tumepuuzia maana hii ndio hulka ya wanawake wote. Hamna kipya kaongea😂
😀😀, mimi bado ma EX nawatafuna, nahisi kama nitaoa basi nitampa heshima tu... Ila Ex nitaendelea nao kishkaji..Maisha mazuri lazima yaambatane na bahati.
Swali ni wewe ni bahati kwa atakayekupata? Au ni ole wake atakayekupata maana amebugia shubiri.
Ondoa kwanza boriti kwenye jicho lako....Kwa style hii H.I.V kukata kabisa pagumu, tujitafakari wanaume japo nami nagusa gusa ma Ex