Je, Wanawake mnaweza Kweli kusahau Wapenzi wenu wa Zamani?

Je, Wanawake mnaweza Kweli kusahau Wapenzi wenu wa Zamani?

Habari wana JF,Poleni na majukumu ya hapa na pale [emoji1666].

Nimekuwa nikijiuliza kama ni kweli mwanamke anaweza kusahau kabisa "EX" wake, hasa anapopata nafasi ya kukutana naye tena. Nimegundua kwamba "EX" wangu wote, hata kama walikuwa na uchungu kuhusu kutengana, kamwe hawakatai kukutana nami ninapowaomba tena Baraka zao, awe ameolewa au awe hajaolewa wananipa naogelea kama kawaida.

Sijawahi kukutana na upinzani wowote kutoka kwa "EX" zangu, hata wale ambao hatujawasiliana kwa miaka kadhaa kutokana na umbali au sababu nyingine za kibinadam. Kila mara tunapokutana, tunapata "BURUDIKO," hata kama wapo katika mahusiano mapya.

Hii inanifanya kuwa na wasiwasi kwa sababu najisikia kama vile wasichana nilio nao katika uhusiano nao wanafanya hivyo hivyo, pia kushindwa kuzuia ombi la kukutana na "EX" zao, hata kama wananithibitishia hawatarudi nyuma. Naona Ni ngumu sana kuamini, hasa inapokuwepo nafasi ya kukutana tena.

Kauli yangu ni moja tu, Kula Tunda Mara Moja Waachie Wezio [emoji41][emoji41].
Mwizi kuibiwa ni haramu?

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
hahaaaa!! Unapenda kuiba ila kuibiwa hupendi.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
. Yani Mwizi akiibiwa huo mtaa, itafanyiwa searching mpaka kitu chake kipatikane... 😀😀.

. Kuna siku nilisalitiwa nikajua aise, yule demu kidogo nimtoe uhai.. Mpaka leo sijui aliendaga wapi, Maana niliweka patrol kama mwenzi hivi, akahama na mkoa kabisa.
 
Sio kila Ex ni mbayaa, hata km mnaachana kwa ugomvi au visa ila kuna moments zinafanya moyoo ufunguke na uwe mpoleee.

Popote ulipooo M barikiwa sanaa, siwezi eleza ni jinsi gani uliacha alama kwangu, nahisi ni kiumbe uliyezaliwa ili uje uniinue na kunipaisha.

Hakukua na mtu ambaye angeweza kuwa au kusimama na mie, sio wazazi, ndugu, jamaa hata marafikii, lakini ulijitokeza wewee kuwa karibu yangu na kunifanya niwe imara zaidi ya mwanzo.

Nakumbuka neno lako kuu "maisha ni vile unaishi, tunaishi mara 1 tyuuh" na msemo wako maarufu "ukipewa kilema, unapewa na mwendo" [emoji24][emoji24][emoji24]

Fanikiwa zaidi na zaidi M, natamani nikuone siku 1ili ushuhudie yale uliyoninenea na hakika kwa 90% yametimiaaaa.

Ex wangu weweee ni wa thamaniiii.
Mkikutana lazima atombe hapo
 
Hata wakwako uliye au utakaye muoa atakuwa hivyo hivyo, ila kusahau kupo sasa kama mtu alikuacha akaoa mwingine namrudia vipi labda niwe mbulula

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Siyo kumrudia uolewe naye,yaani yeye anakua kaoa,wewe umeolewa,ila akihitaji mzigo unampa,ndicho mleta mada anaongelea.In short kuwa na maex wengi,ni hazina katika uzinzi.
 
Unarudi kwa ex umesahau nini, gono au??


Sio ukiambiwa tu nimemiss show yako unatatarika kama mahindi ya bisi kujiona wewe ndiye fundi unajua kumkuna kuliko mpenzi wake mpya[emoji23], shtuka bro

Wengine washayavaa maukimwi huko na wanausambaza kwa kwa speed ya 5G,
 
Siyo kumrudia uolewe naye,yaani yeye anakua kaoa,wewe umeolewa,ila akihitaji mzigo unampa,ndicho mleta mada anaongelea.In short kuwa na maex wengi,ni hazina katika uzinzi.
Ni kweli mkuu, Mzunguko wa ma EX, unakua mwingi, Ndo maana hata sisi Waendesha Boda To Boda tunaogopa kuoa.
 
Unarudi kwa ex umesahau nini, gono au??


Sio ukiambiwa tu nimemiss show yako unatatarika kama mahindi ya bisi kujiona wewe ndiye fundi unajua kumkuna kuliko mpenzi wake mpya[emoji23], shtuka bro

Wengine washayavaa maukimwi huko na wanausambaza kwa kwa speed ya 5G,
😒😒, Sawa mkuu, ila kwani situnapima kwanza, ndo tunazagamuana?
 
Kama mahusiano yaliisha basi yameisha, kusiwe na mazoea ambayo yatapelekea kupasha viporo, hata siku mkionana haitakua rahisi yaani mtaanzaje kukumbushia na hamjazoeana?. Nimejifunza ukiachwa achika.inawezekana kusahau kabisa Exs
 
Back
Top Bottom