Je wapenda kuchorwa jina lako?

cacico come this way ujionee mwenyewe kabla sijaangusha wino hapo!

na huyu mwingine ni cacico sijui kama watapenda picha zao kwani nimewatoa bomba sana hakuna mfano rutta wewe angalia zaidi halafu utoe comment zako hapo chini hao wengine naomba uwachore wewe kwani hawaleta picha zaoView attachment 76076
 
Last edited by a moderator:
ndo mana nilisema nitumie details zako nikuchore kwani kwa kuhisi tu inachanganya mimi naweza kuhisi uso wa mtu tu nasio mwili ndio mana nilimwambia rutta kuwa ni muhimu utoe details kamili sasa wewe tuma umbile lako lilivyo kama ni inchi 15' au 30' hivi nitakuchora haya sasa tuma kama unapenda Mentor
 
Last edited by a moderator:
haaya bishanga huyo hapo ametoka shamba na jembe lake unataka nini te na rutta we ni mkorofi sana rutta haya nimeshamchora ongea lingine basi huyo hapo
 
na huyu mwingine ni cacico sijui kama watapenda picha zao kwani nimewatoa bomba sana hakuna mfano rutta wewe angalia zaidi halafu utoe comment zako hapo chini hao wengine naomba uwachore wewe kwani hawaleta picha zaoView attachment 76076

Kumbe cacico amefanana na michael jackson
 
Last edited by a moderator:
NIMEFANIKIWA KUWACHORA HAWA TU ILA HAO WENGINE MPAKA WATOE DAU LANGU NIPO NITAWACHORA@Ruttashobolwa

angalia hapa chini naanza na mwaJ

Unaona ulivyonikosea? Yaani mie nimekuwa kibonge hivyo saa ngapi? Futa picha anza upya!
 
Kazi nzuri ila msikose kupiga kura zenu kwa Madame B awe miss Chitchat 2012
 
Last edited by a moderator:



Sura yako hiyo:
 
hujaleta picha yako kaka Filipo
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…