Kennedy JF-Expert Member Joined Dec 28, 2011 Posts 54,894 Reaction score 64,043 Mar 28, 2024 #21 Rio Shabazz said: unauziwa na wananchi au ni yale maeneo ya kijiji Click to expand... Wananchi Mkuu Kuna Eneo Nilipita Nikakuta Jeshi Lina Maeneo Mashamba Katikati Ya Pori Na Wananchi Wanalima Sana Sana, Mishamo
Rio Shabazz said: unauziwa na wananchi au ni yale maeneo ya kijiji Click to expand... Wananchi Mkuu Kuna Eneo Nilipita Nikakuta Jeshi Lina Maeneo Mashamba Katikati Ya Pori Na Wananchi Wanalima Sana Sana, Mishamo
Mzingo JF-Expert Member Joined Nov 2, 2014 Posts 4,729 Reaction score 10,500 Mar 28, 2024 #23 Miksa koboko OKW BOBAN SUNZU said: Hakuna ekari ya 50, labda iwe ni pori la kufyek Click to expand...
Miksa koboko OKW BOBAN SUNZU said: Hakuna ekari ya 50, labda iwe ni pori la kufyek Click to expand...
ministrant JF-Expert Member Joined Jan 17, 2014 Posts 754 Reaction score 1,478 Mar 28, 2024 #24 mjingamimi said: Handeni hapo ikitaka la karibu na bara bara kuanzia laki 1 ila ndani ndani hulo unapata kwa hela hyo na hata maporibure yapo Click to expand... Handeni ipi hiyo Mkuu?
mjingamimi said: Handeni hapo ikitaka la karibu na bara bara kuanzia laki 1 ila ndani ndani hulo unapata kwa hela hyo na hata maporibure yapo Click to expand... Handeni ipi hiyo Mkuu?
Technophilic Pool JF-Expert Member Joined Jan 18, 2024 Posts 2,597 Reaction score 3,965 Mar 28, 2024 Thread starter #25 Kennedy said: Wananchi Mkuu Kuna Eneo Nilipita Nikakuta Jeshi Lina Maeneo Mashamba Katikati Ya Pori Na Wananchi Wanalima Sana Sana, Mishamo View attachment 2946482 Click to expand... sasa huko ukijichanganya si wanaweza kukuuzia sehemu ya hifadhi na usijue
Kennedy said: Wananchi Mkuu Kuna Eneo Nilipita Nikakuta Jeshi Lina Maeneo Mashamba Katikati Ya Pori Na Wananchi Wanalima Sana Sana, Mishamo View attachment 2946482 Click to expand... sasa huko ukijichanganya si wanaweza kukuuzia sehemu ya hifadhi na usijue
Kennedy JF-Expert Member Joined Dec 28, 2011 Posts 54,894 Reaction score 64,043 Mar 28, 2024 #26 Rio Shabazz said: sasa huko ukijichanganya si wanaweza kukuuzia sehemu ya hifadhi na usijue Click to expand... Haa Haa
Rio Shabazz said: sasa huko ukijichanganya si wanaweza kukuuzia sehemu ya hifadhi na usijue Click to expand... Haa Haa