gspain
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,920
- 6,081
Hii serikali ya ajabu sana, me pia walifika kwenye moja ya ofisi yangu ndogo wakalazimisha nilipie kitambulisho wakati me nilikuwa nalipa kodi TRA.
Niligoma sababu nilijua kwa biashara ile sipaswi kuwa nacho ila walitaka kutumia nguvu nikaona sio kesi nikaongea na Mkurugenzi nikalipia elfu 20.
Baadaye mwaka huo huo akaja Meneja wa TRA na timu yake kudai kodi, me huwa sipo pale nikapewa taarifa nikamwambia asifunge ofisi yangu nilishalipia na nitampelekea uthibitisho ofisini.
Nilivofika nikaenda TRA na kitambulisho cha Mjasiriamali, jamaa akawaka kinoma me namcheki tu, nikamwambia ondoa jazba twende taratibu.
Nikamrukia hewani Mkurugenzi, baada ya malumbano akataka kunikana nikamwambia siku ile nilikurekodi na nitaenda na ushahidi hadi kwa Meko tuone we ni nani unayepinga agizo lake, akamwambia meneja muache huyo kijana wetu.
Na me kwa kuwakomoa hadi leo silipi TRA natereza na kitambulisho mwanzo mwisho baada ya kuona kodi zenyewe zinatumika kununua wapinzani na kurudia chaguzi za kijinga tu hamna la maana.
Niligoma sababu nilijua kwa biashara ile sipaswi kuwa nacho ila walitaka kutumia nguvu nikaona sio kesi nikaongea na Mkurugenzi nikalipia elfu 20.
Baadaye mwaka huo huo akaja Meneja wa TRA na timu yake kudai kodi, me huwa sipo pale nikapewa taarifa nikamwambia asifunge ofisi yangu nilishalipia na nitampelekea uthibitisho ofisini.
Nilivofika nikaenda TRA na kitambulisho cha Mjasiriamali, jamaa akawaka kinoma me namcheki tu, nikamwambia ondoa jazba twende taratibu.
Nikamrukia hewani Mkurugenzi, baada ya malumbano akataka kunikana nikamwambia siku ile nilikurekodi na nitaenda na ushahidi hadi kwa Meko tuone we ni nani unayepinga agizo lake, akamwambia meneja muache huyo kijana wetu.
Na me kwa kuwakomoa hadi leo silipi TRA natereza na kitambulisho mwanzo mwisho baada ya kuona kodi zenyewe zinatumika kununua wapinzani na kurudia chaguzi za kijinga tu hamna la maana.
Jiwe anasema vitambulisho sio lazima ila mimi mwaka juzi alivyoanzisha niliona jamaa wanawalazimisha wafanyabiashara pale Mbagala Zakiem wakilazimishwa kuvilipia huku wamezungukwa na askari wenye SMG.