Je, wapinzani hawapotoshi kuhusu vitambulisho vya ujasiliamali?

Je, wapinzani hawapotoshi kuhusu vitambulisho vya ujasiliamali?

Hii serikali ya ajabu sana, me pia walifika kwenye moja ya ofisi yangu ndogo wakalazimisha nilipie kitambulisho wakati me nilikuwa nalipa kodi TRA.

Niligoma sababu nilijua kwa biashara ile sipaswi kuwa nacho ila walitaka kutumia nguvu nikaona sio kesi nikaongea na Mkurugenzi nikalipia elfu 20.

Baadaye mwaka huo huo akaja Meneja wa TRA na timu yake kudai kodi, me huwa sipo pale nikapewa taarifa nikamwambia asifunge ofisi yangu nilishalipia na nitampelekea uthibitisho ofisini.

Nilivofika nikaenda TRA na kitambulisho cha Mjasiriamali, jamaa akawaka kinoma me namcheki tu, nikamwambia ondoa jazba twende taratibu.

Nikamrukia hewani Mkurugenzi, baada ya malumbano akataka kunikana nikamwambia siku ile nilikurekodi na nitaenda na ushahidi hadi kwa Meko tuone we ni nani unayepinga agizo lake, akamwambia meneja muache huyo kijana wetu.

Na me kwa kuwakomoa hadi leo silipi TRA natereza na kitambulisho mwanzo mwisho baada ya kuona kodi zenyewe zinatumika kununua wapinzani na kurudia chaguzi za kijinga tu hamna la maana.
Jiwe anasema vitambulisho sio lazima ila mimi mwaka juzi alivyoanzisha niliona jamaa wanawalazimisha wafanyabiashara pale Mbagala Zakiem wakilazimishwa kuvilipia huku wamezungukwa na askari wenye SMG.
 
Wakuu habari zenu,

Katika muendelezo wa kampeni za uchaguzi huu limejitokeza hili suala la vitambulisho vya ujasiriamali,nami nikasema si vibaya nikilileta hapa jukwaani tuweze kujiuliza yafuatayo:-

- Kama kusingekuwa na hivi vitambulisho je hawa wajasiriamali wangelipa tozo za biashara kiasi gani?

Ilikuwa kawaida kwenye masoko kuwa na ushuru wa biashara usiopungua TZS 500/=, sasa kwa mahesabu ya kawaida huyu mtu kama atafanya biashara kwa mwaka mzima bila kukosa

maana yake (500x30x12=180,000).

Hii maana yake si huyu mjasiriamali angelipa 180,000/= kwa mwaka, lakini kwa sababu ya vitambulisho hivi atalipa 20,000/= tu ?

Sasa najiuliza jambo lipi ni jema kati ya haya mawili kulipa 20,000/= au kulipa 180,000/= kwa mwaka?


Nafikiria tungekuwa wakweli wa nafsi zetu nakuacha kuwadanganya au kuwayumbisha wananchi wenzetu.

Ni hayo tu nakaribisha kuelemishwa na pia povu ni ruksaa.

JPM 2020 - 2025

CCM 5 Tenaa
Tatizo kubwa la vitambulisho vya Magufuli ni kutokuwa na kanuni inayoeleweka. Hakuna anayefahamu fedha hizi zinakwenda wapi na kwa kazi gani. Tena zinatozwa hata kwa wasio wajasilia mali kwa mfano vibarua katika kazi za binafsi na umma, watumishi wa nyumbani, bar maids, wafanyakazi rasmi wa umma na binafsi nk.

Sasa hii ni kodi ya kichwa au ya mapato? Mbaya zaidi zinakusanywa na wanasiasa makada wa CCM.
 
Wakuu habari zenu,

Katika muendelezo wa kampeni za uchaguzi huu limejitokeza hili suala la vitambulisho vya ujasiriamali,nami nikasema si vibaya nikilileta hapa jukwaani tuweze kujiuliza yafuatayo:-

- Kama kusingekuwa na hivi vitambulisho je hawa wajasiriamali wangelipa tozo za biashara kiasi gani?

Ilikuwa kawaida kwenye masoko kuwa na ushuru wa biashara usiopungua TZS 500/=, sasa kwa mahesabu ya kawaida huyu mtu kama atafanya biashara kwa mwaka mzima bila kukosa

maana yake (500x30x12=180,000).

Hii maana yake si huyu mjasiriamali angelipa 180,000/= kwa mwaka, lakini kwa sababu ya vitambulisho hivi atalipa 20,000/= tu ?

Sasa najiuliza jambo lipi ni jema kati ya haya mawili kulipa 20,000/= au kulipa 180,000/= kwa mwaka?


Nafikiria tungekuwa wakweli wa nafsi zetu nakuacha kuwadanganya au kuwayumbisha wananchi wenzetu.

Ni hayo tu nakaribisha kuelemishwa na pia povu ni ruksaa.

JPM 2020 - 2025

CCM 5 Tenaa
Hizo hawakusanyi TRA, mnazipeleka wapi hizo pesa tena eti hamtoi risiti
 
Hizo hawakusanyi TRA mnazipeleka wapi hizo pesa tena eti hamtoi risiti

Wewe una kitambulisho?

Nia ya zoezi hili haikuwa mbaya kabisa ililenga kuwasaidia watu wenye kipato duni waweze kutafuta makate wao wa kila siku.

wewe tu peke yako ndiye unayeleta utata ila walengwa wanfurahia hivi vitambulisho.
 
Tatizo kubwa la vitambulisho vya Magufuli ni kutokuwa na kanuni inayoeleweka. Hakuna anayefahamu fedha hizi zinakwenda wapi na kwa kazi gani. Tena zinatozwa hata kwa wasio wajasilia mali kwa mfano vibarua katika kazi za binafsi na umma, watumishi wa nyumbani, bar maids, wafanyakazi rasmi wa umma na binafsi nk.

Sasa hii ni kodi ya kichwa au ya mapato? Mbaya zaidi zinakusanywa na wanasiasa makada wa CCM.
Una maanisha nini unaposema pesa zinakwenda wapi?

Hauoni maendeleo ya miundo mbinu na maboresho ya huduma za kijamii?

Hii nchi ina wataalamu na watu wenye weledi katika kuweka mipango ya maendeleo, mbona Lissu anawachangisha wanachi hao hao maskini wakati walishalipa kodi zao na mkalipwa ruzuku.

Tuache ufitini.
 
[

Mkuu kwani kweli huoni unafuu wowote kati ya 20,000/= vs 180,000/=? Hakuna taifa linaloendeshwa bila Taxes and levies, mimi naona serikali iliwaza vyema na imeweza kutanua vyanzo vya mapato.

unataka kuniambia bodaboda anakosa (20,000/360=55.55/=) Yaani ashindwe kulipa shillingi 56/= kila siku ambayo kwa mwaka ndio hiyo 20,000/=.

Hapana kwakweli hata Chadema mwaka 2100 itakapo kamata dola lazima itatoza kodi.

Nakubali kuelimishwa Mkuu
Fikiria mchuuzi akiamka asubuhi anakuwa na mtaji wa kiasi gani. Kwa namna unavyowaza ni kuwa kila mtu hawezi kukosa 20,000/= ukweli ni kuwa wengi hiyo fedha wanaipata baada ya siku kadhaa.
 
Una maanisha nini unaposema pesa zinakwenda wapi?

Hauoni maendeleo ya miundo mbinu na maboresho ya huduma za kijamii?

Hii nchi ina wataalamu na watu wenye weledi katika kuweka mipango ya maendeleo, mbona Lissu anawachangisha wanachi hao hao maskini wakati walishalipa kodi zao na mkalipwa ruzuku.

Tuache ufitini.
Kwa taarifa yako hizo fedha anachukuwa Magufuli na huenda kiasi anaigawa kwa CCM.

Michango ya Lisu anaomba kwa hiari ya mtu na siyo lazima kama ma-dc wanavyolazimisha.
 
Kwa taarifa yako hizo fedha anachukuwa Magufuli na huenda kiasi anaigawa kwa CCM.

Thibitisha,

Ninachojua zinalipa pia ruzuku ambazo hata wapinzani wanapewa na kwa makusudi wanaamua kuwachangisha tena wananchi
 
Wakuu habari zenu,

Katika muendelezo wa kampeni za uchaguzi huu limejitokeza hili suala la vitambulisho vya ujasiriamali,nami nikasema si vibaya nikilileta hapa jukwaani tuweze kujiuliza yafuatayo:-

- Kama kusingekuwa na hivi vitambulisho je hawa wajasiriamali wangelipa tozo za biashara kiasi gani?

Ilikuwa kawaida kwenye masoko kuwa na ushuru wa biashara usiopungua TZS 500/=, sasa kwa mahesabu ya kawaida huyu mtu kama atafanya biashara kwa mwaka mzima bila kukosa

maana yake (500x30x12=180,000).

Hii maana yake si huyu mjasiriamali angelipa 180,000/= kwa mwaka, lakini kwa sababu ya vitambulisho hivi atalipa 20,000/= tu ?

Sasa najiuliza jambo lipi ni jema kati ya haya mawili kulipa 20,000/= au kulipa 180,000/= kwa mwaka?

Nafikiria tungekuwa wakweli wa nafsi zetu nakuacha kuwadanganya au kuwayumbisha wananchi wenzetu.

Ni hayo tu nakaribisha kuelemishwa na pia povu ni ruksaa.

JPM 2020 - 2025

CCM 5 Tenaa
Hayo malipo ya vitambulisho ilikua inapelekwa wapi . na kwanini yalikua haitolewi risit. Malipo yoyote bila risit ni wizi tu. Ikuru ilirumiwa na mtu kukusanya the so called malipo ya vitambulisho bila risit ?
 
Hawa jamaa huwa wanaumiza sana wananchi, siajabu nyumbani watoto wanasubiri baba arudi nyumbani na unga japo wapate kaugali, mijitu kama hii inakamata watu na wanaofanya kazi halali na kuwanyang'anya. Huyu mtu akiamua kuwa mwizi/tapeli au jambazi utamlaumu kweli..??
Rais wa wanyonge
 
Thibitisha,

Ninachojua zinalipa pia ruzuku ambazo hata wapinzani wanapewa na kwa makusudi wanaamua kuwachangisha tena wananchi
Thibitisha . maana mie najua zinaingia mfukoni kwa magufuli. Hapa ni kwamba hata ukusanywaji wa hizi malipo za vitambulisho ni utata mtupu. Maana si tra wanaokusanya
 
Wewe una kitambulisho?

Nia ya zoezi hili haikuwa mbaya kabisa ililenga kuwasaidia watu wenye kipato duni waweze kutafuta makate wao wa kila siku.

wewe tu peke yako ndiye unayeleta utata ila walengwa wanfurahia hivi vitambulisho.
Muuza supu wa mtaji wa 10,000 kitambulisho cha 20,000 chanini
 
Wakuu habari zenu,

Katika muendelezo wa kampeni za uchaguzi huu limejitokeza hili suala la vitambulisho vya ujasiriamali,nami nikasema si vibaya nikilileta hapa jukwaani tuweze kujiuliza yafuatayo:-

- Kama kusingekuwa na hivi vitambulisho je hawa wajasiriamali wangelipa tozo za biashara kiasi gani?

Ilikuwa kawaida kwenye masoko kuwa na ushuru wa biashara usiopungua TZS 500/=, sasa kwa mahesabu ya kawaida huyu mtu kama atafanya biashara kwa mwaka mzima bila kukosa

maana yake (500x30x12=180,000).

Hii maana yake si huyu mjasiriamali angelipa 180,000/= kwa mwaka, lakini kwa sababu ya vitambulisho hivi atalipa 20,000/= tu ?

Sasa najiuliza jambo lipi ni jema kati ya haya mawili kulipa 20,000/= au kulipa 180,000/= kwa mwaka?

Nafikiria tungekuwa wakweli wa nafsi zetu nakuacha kuwadanganya au kuwayumbisha wananchi wenzetu.

Ni hayo tu nakaribisha kuelemishwa na pia povu ni ruksaa.

JPM 2020 - 2025

CCM 5 Tenaa
Kwahiyo kwa sasa Ushuru hautozwi na Halmashauri mbalimbali nchini kwasababu ya elfu 20 za vitambulisho?
 
Wakuu habari zenu,

Katika muendelezo wa kampeni za uchaguzi huu limejitokeza hili suala la vitambulisho vya ujasiriamali,nami nikasema si vibaya nikilileta hapa jukwaani tuweze kujiuliza yafuatayo:-

- Kama kusingekuwa na hivi vitambulisho je hawa wajasiriamali wangelipa tozo za biashara kiasi gani?

Ilikuwa kawaida kwenye masoko kuwa na ushuru wa biashara usiopungua TZS 500/=, sasa kwa mahesabu ya kawaida huyu mtu kama atafanya biashara kwa mwaka mzima bila kukosa

maana yake (500x30x12=180,000).

Hii maana yake si huyu mjasiriamali angelipa 180,000/= kwa mwaka, lakini kwa sababu ya vitambulisho hivi atalipa 20,000/= tu ?

Sasa najiuliza jambo lipi ni jema kati ya haya mawili kulipa 20,000/= au kulipa 180,000/= kwa mwaka?

Nafikiria tungekuwa wakweli wa nafsi zetu nakuacha kuwadanganya au kuwayumbisha wananchi wenzetu.

Ni hayo tu nakaribisha kuelemishwa na pia povu ni ruksaa.

JPM 2020 - 2025

CCM 5 Tenaa
Kwenye masoko ushuru km kawa mfano sis wauza viat karume mchikichin ushuru wa halmashaur tunalipia mia tano pa dei ila wale wanaotembeza au kupanga barabaran ndio wanapaswa kuwa na hivyo vitambulisho.
 
Aliyekwambia ukiwa na Kitamburisho cha Ujasiliamari hulipi Ushuru sokoni ni nani?

Ushuru unalipa kama kawaida, kile walichoambiwa kama faida ya Kitamburisho ni kufanya biashara popote ukiwa na Kitamburisho.....

All in all WALILAZIMISHWA...!
 
Aliyekwambia ukiwa na Kitamburisho cha Ujasiliamari hulipi Ushuru sokoni ni nani?

Ushuru unalipa kama kawaida, kile walichoambiwa kama faida ya Kitamburisho ni kufanya biashara popote ukiwa na Kitamburisho.....

All in all WALILAZIMISHWA...!
Labda wao walilazimishwa lkn sisi tunauza viat deile na vitambulisho hatuna na hatukamatwi.
 
Back
Top Bottom