Kuhani
JF-Expert Member
- Apr 2, 2008
- 2,944
- 64
Nilijua hiyo itasababisha controversy,
actually binadamu ni worse than Punda, angalau Punda anaweza kusema ung'amuzi wake wa mambo ni mdogo.Binadamu hata baada ya ung'amuzi mkubwa wa mambo bado anakuwa fisadi by nature.Ndiyo maana ukomunisti umeshindwa Urusi, wakati wengine wakipanga foleni kupata mikate ya rationing, wakuu wa chama cha kikomunisti walikuwa wanajivinjari katika ma Dacha yaliyo kwenye posh suburbs za Muskva.Na hata maduka yao yalikuwa tofauti kwani walikuwa na Supermarket zao zina kila kitu kutoka west.
Lord Acton alisema power corrupt, absolute power corrupts absolutely.Binadamu is worse than Punda na hawezi kutegemewa ku act responsibly bila ya kuwekewa sheria, at least as far as the context of government is concerned ambako all sorts of weird groupthink and mob psychology zinatokea na kuwafanya hata watu rational waanze kufanya mambo ya ajabu within a group.
Hujasema lolote kuhusu usawa wa binadamu na punda inapokuja kwenye kujifanya mambo kwa hiari bila koboko. Aya ya kwanza umeongelea Ufisadi wa ma apparatchiks wa Russia. Aya ya pili umeleta msemo wa mja mmoja wa Kiiingereza ambao hausemi lolote kuhusu kufanana kwa asili ya binadamu na Punda. Pointi ya mwisho kuhusu group thinking na mob psychology inasaidia kuudhoofia hoja yako kwamba Binadamu ni kama Punda kwa sababu umekubali kuna wakati binadamu anakuwa rational isipokuwa kwenye vikundi - ambavyo anajiunga kwa hiari. Lakini hakuna punda ambae ana rationale ya kwenda bila kiboko! Bado hujanishawishi kwamba asili ya Binadamu ni kama asili ya Punda!