Je, wapinzani ni wakombozi?

Je, wapinzani ni wakombozi?

Swali "Hivi wapinzani wataweza kutuletea maendeleo wakipewa nchi?" ni murua, kwa nilivyolielewa mimi.

Msingi ni kuwa, hebu tufikirie kuwa wapinzani ndiyo wameshapewa nchi, hivi wataweza kutuletea maendeleo?

Ndipo mimi nilipotoa concerns zangu kuwa tunachohitaji si kuondoa chama tawala tu, bali pia na institutional changes pamoja na kubadili mentality/ kuongeza elimu ya watu.

Maana hata hao wapinzani wakiingia madarakani wataacha kuwa wapinzani na watakuwa chama "twawala" kama wanavyosema wakina makengeza.It's human nature, wewe leo huna clout, kesho rais una largesse ya kuchagua entourage lako zima liwe wakuu wa mikoa, wilaya, viongozi wa mashirika ete unafikiri itakuwa rahisi kubadili katiba? Yamemshinda Kibaki hata baada ya kuahidi watu, yamemshinda Kikwete huyo hapo mpaka kesho anachagua watu bogus wa mtandao.

Hili ni moja ya maswali yaliyo na maana kabisa.Swali liko one step ahead of the times, wakati kila mtu anajiuliza ni jinsi gani ya kuitoa CCM, swali limechukulia for granted tu kwamba kwa mujibu wa trend hii basi CCM itatoka tu, si mbali sana.For the sake of argument hata kama hawatoki lets say wametoka na wapinzani wamechukua nchi, then what, under our current settings kuna kitu kitabadilika?

IMHO, I do not think much will change for the better, to the contrary, possibly for the worse.

Tunahitaji institutional change either simultaneously with or before regime change.
 
Ingawa mie sio mtaalam wa mambo ya sheria au siasa nahisi Mabadiliko muhimu ni pamoja na:

Bunge lipewe nguvu zaidi na kuweza pia kuchallenge na kumuwajibisha rais.
wizara ya katiba na sheria ivunjwe na kuwa departments katika bunge ili kuwezesha uchunguzi huru pale mambo yanapokuwa kama yalivyo sasa.
Wabunge wasiwe mawaziri bali wajishughulishe na shughuli za maendeleo kwenye majimbo yao.
 
Swali "

Tunahitaji institutional change either simultaneously with or before regime change.


Hili ni muhimu sana na yote uliyoyasema ni ukweli kabisa, bila institutional change hata wapinzani hawataleta maendeleo.

Vile vile aliyeko madarakani over dead body hayuko Tayari kuhakikisha hili linatokea. Unafanyaje?

Ndio maana hapo mwanzo nimesema hakuna kitu kirahisi. Lazima hili Tanzania iendelee/ifikie maendeo haiwezi kuanza kutambaa hapo hapo ikakimbia. Lazima tupitie stage zote. Lazima twende kwenye instability state before stable state.

Instability state Kenya wameifikia. Si vizuri kusema hili lakini ndio ukweli.

Mpinzani akiingia anakuwa hajaota mizizi na hii pia ni mojawapo ya instability state.
 
Hilo la swali kukosewa hata mimi nililiona....

Ni kweli lazima kuwe na sababu na sababu yenyewe ni CCM wameshindwa kuongoza.

Umewahi kujiuliza hivi ni kwa nini CCM inaendelea kuwa madarakani huku taifa likibomoka badala ya kujengeka?

Kuna kitu kiliweza kukushawishi wewe kufikia kauli ya "CCM wameshindwa kuongoza".. now you tell me, nini kifanyike kuweza kuwafanya mamilioni ya Watanzania waweze kufikia hitimisho hilo. Kwa sababu unless uniambie kuwa ulipata mafunuo usiku mmoja kuwa "CCM imeshindwa kuongoza" siwezi kushangaa it has been an intellectual realization of that truth. Sasa mimi nakukaribisha kijijini na wanakijiji wanataka wakusikilize ili waweze kuona CCM imeshindwa kuongoza. While you are making your case anticipate all their possible objections and your responses to them.. go! Jenga kesi kwa wanakijiji, usiwafikirie wasomi au wafanyabiashara... just simple peasants from Nasa, Kiseja, Igogo, Igoma, Bariadi, Ngwanakunungu.. n.k... wanataka uwashawishi kuwa CCM imeshindwa kuongoza.
 
Kuna kitu kiliweza kukushawishi wewe kufikia kauli ya "CCM wameshindwa kuongoza".. now you tell me, nini kifanyike kuweza kuwafanya mamilioni ya Watanzania waweze kufikia hitimisho hilo. Kwa sababu unless uniambie kuwa ulipata mafunuo usiku mmoja kuwa "CCM imeshindwa kuongoza" siwezi kushangaa it has been an intellectual realization of that truth. Sasa mimi nakukaribisha kijijini na wanakijiji wanataka wakusikilize ili waweze kuona CCM imeshindwa kuongoza. While you are making your case anticipate all their possible objections and your responses to them.. go! Jenga kesi kwa wanakijiji, usiwafikirie wasomi au wafanyabiashara... just simple peasants from Nasa, Kiseja, Igogo, Igoma, Bariadi, Ngwanakunungu.. n.k... wanataka uwashawishi kuwa CCM imeshindwa kuongoza.

Mkjj,

Ukisoma JF kwa mwezi mmoja tu utagundua kuwa hii ni kweli!
 
Ingawa mie sio mtaalam wa mambo ya sheria au siasa nahisi Mabadiliko muhimu ni pamoja na:

Bunge lipewe nguvu zaidi na kuweza pia kuchallenge na kumuwajibisha rais.
wizara ya katiba na sheria ivunjwe na kuwa departments katika bunge ili kuwezesha uchunguzi huru pale mambo yanapokuwa kama yalivyo sasa.
Wabunge wasiwe mawaziri bali wajishughulishe na shughuli za maendeleo kwenye majimbo yao.

Mama:

Bunge lina nguvu zote lakini waliomo wanalinda maslahi yao, wanaogopa au hawajuhi la kufanya.
 
Kuna kitu kiliweza kukushawishi wewe kufikia kauli ya "CCM wameshindwa kuongoza".. now you tell me, nini kifanyike kuweza kuwafanya mamilioni ya Watanzania waweze kufikia hitimisho hilo. Kwa sababu unless uniambie kuwa ulipata mafunuo usiku mmoja kuwa "CCM imeshindwa kuongoza" siwezi kushangaa it has been an intellectual realization of that truth. Sasa mimi nakukaribisha kijijini na wanakijiji wanataka wakusikilize ili waweze kuona CCM imeshindwa kuongoza. While you are making your case anticipate all their possible objections and your responses to them.. go! Jenga kesi kwa wanakijiji, usiwafikirie wasomi au wafanyabiashara... just simple peasants from Nasa, Kiseja, Igogo, Igoma, Bariadi, Ngwanakunungu.. n.k... wanataka uwashawishi kuwa CCM imeshindwa kuongoza.

It takes two to tango! Mimi kujenga kesi ni rahisi na urahisi huo wamenipa CCM. Sitaki kuorodhesha kila kitu hapa kwani nadhani unavijua. Sasa kazi ni kwao kama watataka mabadiliko au la. Huwezi kumlazimisha mtu ambaye hataki. Kama hataki...hataki. Hiyo ni juu yake.
 
Mama:

Bunge lina nguvu zote lakini waliomo wanalinda maslahi yao, wanaogopa au hawajuhi la kufanya.

nadhani hawajui la kufanya au ni kutetea chochote kitu....wanaogopa wakileta za kuleta wanamwaga unga au wana wakolimba! Kwa hivyo hata wapinzani wakipewa nchi, mambo ya kulinda maslahi na kuogopa kushindwa yanabaki palepale hivyo hakutakuwa na jipya sana. Cha muhimu ni kufight kubadilisha kwanza haya mambo, bila kuyabadilisha hawataweza kuchukua nchi. Kama wameweza kufichua ufisadi nadhani hata fight ya kubadili hizo institutions wanaiweza.
 
Swali "Hivi wapinzani wataweza kutuletea maendeleo wakipewa nchi?" ni murua, kwa nilivyolielewa mimi.

Msingi ni kuwa, hebu tufikirie kuwa wapinzani ndiyo wameshapewa nchi, hivi wataweza kutuletea maendeleo?

Ndipo mimi nilipotoa concerns zangu kuwa tunachohitaji si kuondoa chama tawala tu, bali pia na institutional changes pamoja na kubadili mentality/ kuongeza elimu ya watu.

Maana hata hao wapinzani wakiingia madarakani wataacha kuwa wapinzani na watakuwa chama "twawala" kama wanavyosema wakina makengeza.It's human nature, wewe leo huna clout, kesho rais una largesse ya kuchagua entourage lako zima liwe wakuu wa mikoa, wilaya, viongozi wa mashirika ete unafikiri itakuwa rahisi kubadili katiba? Yamemshinda Kibaki hata baada ya kuahidi watu, yamemshinda Kikwete huyo hapo mpaka kesho anachagua watu bogus wa mtandao.

Hili ni moja ya maswali yaliyo na maana kabisa.Swali liko one step ahead of the times, wakati kila mtu anajiuliza ni jinsi gani ya kuitoa CCM, swali limechukulia for granted tu kwamba kwa mujibu wa trend hii basi CCM itatoka tu, si mbali sana.For the sake of argument hata kama hawatoki lets say wametoka na wapinzani wamechukua nchi, then what, under our current settings kuna kitu kitabadilika?

IMHO, I do not think much will change for the better, to the contrary, possibly for the worse.

Tunahitaji institutional change either simultaneously with or before regime change.

Hapo nakubaliana na wewe. Ila swali kwako: unaamini wapinzani wanaweza au hawawezi kuongoza nchi?
 
Hapo nakubaliana na wewe. Ila swali kwako: unaamini wapinzani wanaweza au hawawezi kuongoza nchi?

Kuongoza nchi si hoja, si huyo hapo Kikwete anaongoza nchi.Swala anaongoza kwenda wapi?

Si wapinzani wala CCM wanaoweza kuongoza nchi katika direction ya "kutuletea maendeleo" kama swali la kichwa cha thread linavyouliza, ni misingi mizuri ya institutions na electorate yenye elimu itakayowakalia kooni na ku force yeyote atakayekuwa katika uongozi kuleta maendeleo.

Power to the people!
 
Mkjj,

Ukisoma JF kwa mwezi mmoja tu utagundua kuwa hii ni kweli!

Bimdogo.. sidhani kama tatizo ni mimi. I know that is the case. Tatizo ndugu yangu wa kule Kigurunyembe ambaye hana JF au wa kule Mkongo ambaye hajawahi kusikia JF tutamsaidia vipi kuona ukweli huu kuwa CCM imeshindwa kuongoza. Mimi siyo wa kushawishi kwani niko upande unaoona ukweli huo. Wale wanakijiji wenzangu je?

Vinginevyo kwa kuzungumzia hapa tutakuwa tunaihubiria kwaya (a terrible translation)..
 
Kuongoza nchi si hoja, si huyo hapo Kikwete anaongoza nchi.Swala anaongoza kwenda wapi?

Si wapinzani wala CCM wanaoweza kuongoza nchi katika direction ya "kutuletea maendeleo" kama swali la kichwa cha thread linavyouliza, ni misingi mizuri ya institutions na electorate yenye elimu itakayowakalia kooni na ku force yeyote atakayekuwa katika uongozi kuleta maendeleo.

Power to the people!

At least you admit even CCM isn't qualified kuongoza nchi kwenye direction tunayotaka...
 
Bimdogo.. sidhani kama tatizo ni mimi. I know that is the case. Tatizo ndugu yangu wa kule Kigurunyembe ambaye hana JF au wa kule Mkongo ambaye hajawahi kusikia JF tutamsaidia vipi kuona ukweli huu kuwa CCM imeshindwa kuongoza. Mimi siyo wa kushawishi kwani niko upande unaoona ukweli huo. Wale wanakijiji wenzangu je?

Vinginevyo kwa kuzungumzia hapa tutakuwa tunaihubiria kwaya (a terrible translation)..

Taking coal to Newcastle as they would say.
 
Bimdogo.. sidhani kama tatizo ni mimi. I know that is the case. Tatizo ndugu yangu wa kule Kigurunyembe ambaye hana JF au wa kule Mkongo ambaye hajawahi kusikia JF tutamsaidia vipi kuona ukweli huu kuwa CCM imeshindwa kuongoza. Mimi siyo wa kushawishi kwani niko upande unaoona ukweli huo. Wale wanakijiji wenzangu je?

Vinginevyo kwa kuzungumzia hapa tutakuwa tunaihubiria kwaya (a terrible translation)..

Mkjj,

Rafiki yangu mmoja alifuatilia uchaguzi wa madiwani wilaya za Tarime na moja ya wilaya za mwanza (usiniulize wilaya kwani siijui) mwaka 2005. Anachosema ni kuwa, alitegemea upinzani ungeshinda zaidi mwanza mjini kuliko tarime kutokana na demograph make up.

Alichoshangaa ni kuwa, wapinzani walishinda kwa kishindo tarime kwa kutumia average Joes na kampeni za kawaida huko wakati ccm wakishinda mwanza bila tatizo lolote. Ujumlisho wake ni kuwa, haiitajii kuwa na watu wenye "elimu kubwa sana" kuuongoa utawala mbovu madarakani.

Bado nafuatilia kuona kama hili ni kweli!
 
Bimdogo.. sidhani kama tatizo ni mimi. I know that is the case. Tatizo ndugu yangu wa kule Kigurunyembe ambaye hana JF au wa kule Mkongo ambaye hajawahi kusikia JF tutamsaidia vipi kuona ukweli huu kuwa CCM imeshindwa kuongoza. Mimi siyo wa kushawishi kwani niko upande unaoona ukweli huo. Wale wanakijiji wenzangu je?

Vinginevyo kwa kuzungumzia hapa tutakuwa tunaihubiria kwaya (a terrible translation)..

Kwa maana hiyo wapinzani kuchukua nchi bado kidogo, kuna kazi ya 1.kuimarisha roots vijijini ambapo ndipo kuna wapiga kura wengi
2. Kubadili kwa katiba ili hata pale watakapochukua nchi at least kuna pa kuanzia. Kwa hali ilivyo sasa labda Mungu mwenyewe ndio anaweza kuiongoza Tanzania kwenye maendeleo 'sizitaki mbichi hizi'
 
Kwa maana hiyo wapinzani kuchukua nchi bado kidogo, kuna kazi ya 1.kuimarisha roots vijijini ambapo ndipo kuna wapiga kura wengi
2. Kubadili kwa katiba ili hata pale watakapochukua nchi at least kuna pa kuanzia. Kwa hali ilivyo sasa labda Mungu mwenyewe ndio anaweza kuiongoza Tanzania kwenye maendeleo 'sizitaki mbichi hizi'

Mama,

wapinzani walishaanza kuchukua nchi hata vijijini - anzia Tarime - samahani watani zangu wakurya lakini huko kwenu bado ni kijijini.

Bila kuiondoa ccm kwenye uongozi wa nchi, hizo katiba wala roots zingine za vijijini nani atajenga kama ccm wanatumia whatever they can to stay in power?
 
At least you admit even CCM isn't qualified kuongoza nchi kwenye direction tunayotaka...

Yes Ngabu,

this is what I am also talking about. Utasikia mtu akikubali kuwa ccm haifai kabisa kuongoza nchi na kisha baadaye tena anaishia kwenye kusema kuwa si vyema kuitoa ccm madarakani sasa hivi.
 
Back
Top Bottom