Asha Abdala
JF-Expert Member
- Mar 21, 2007
- 1,130
- 45
hawajanishawishi kama ambavyo wapinzani hawajanishawishi, lkn bibi yangu na babu na majirani zao kule kijijini wameniambia wanawapa kura zao sisiemu.
Mama naye
Yani we mpaka ushawishiwe. Kwa nini usitake kiwe kile ukitakacho? Kwanini we unataka nini? Hao babu na bibi yako wanajua kuhusu UFISADI?
Asha