Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa askari sisi wananchi tunaweza tukawa tunawalaumu bure, let us look on the otherside of the coin.....hawa ni watu wanao amriwa kufanya jambo...hata kama hawapendi..amri inapotoka ni sharti watekeleze kama ilivyoamriwa..Sasa basi kuna vyanzo vyake ambavyo...ni baadhi ya vigogo waliopo madarakani ndo hasa hutoa order ili kuvuruga mipango ya wanasiasa wengine ili wao waendeleee kufaidi
Embu angalia wapimzani walivyochoka,,,,hawa ukipata nchi si ndio wataimalizaaaa
[media]http://bp3.blogger.com/_HO8ijU76ZcQ/R8-dTqy4erI/AAAAAAAAOdc/SdjfjkSuKjY/s1600-h/c.JPG[/media]
Mstahiki:
Hivi huwa unaharakia kwenda wapi?
Maana kila bandiko lako linaonekana kana kwamba unakatiza haraka haraka ili uondoke! Au kuna mtu amekusimamia hapo umalize kutumia kompyuta haraka?
Na hiyo picha sasa haionekani.
FUNGUA ATTACHMENT UWAONE WALIVYOCHOKA MBAYA
JAMAA CHOKA MBAYA
This Sound Childish To Me, Mods Can U Move This Thread To Jokes/udaku Pliiiiiiiiiiiz.......
Hii hapa ndio mahala pake hasa na ndio SI-HASA yenyewe tustahamiliane wakubwa....
Is this the 'A' Team? For real?
Tutaendelea kusota ile mbaya chini ya Chama Kigumu!
Is this the 'A' Team? For real?
Tutaendelea kusota ile mbaya chini ya Chama Kigumu!