Je, wapinzani ni wakombozi?

Je, wapinzani ni wakombozi?

Ndiyo wamechoka, lakini hawajakata tamaa! Wamechoka kupambana na wezi wa fedha zetu na ambao wanaendelea kula kama mchwa! Ni lazima mtu uchoke.

Baada ya kupambana nao katika mahakama ya watu na katika uchaguzi ambao vijana wao walitiwa mapamba mbele ya macho ya CCM ikidaiwa ni "morani" lazima mtu achoke!

Anachoka mtu aliyefanya kazi; mtu mvivu hachoki! Jamaa hawa wameitumikia nchi yao kwa uthabiti na ujasiri mkubwa. Mrema alianza na sakata la Benki Kuu miaka 15 iliyopita leo hii historia inamlipizia kisasi chake; lazima achoke!

Kupambana na watu wenye nguvu kama kina Lowassa, RA, Chenge, JK, na timu yao nzima na kuweza kusimama kidete na kuitwa kila aina ya majina na kuweka kila aina ya mapingamizi usifanikiwe ni lazima mtu achoke!!

Mstahiki asante kwa posti hii kwani umethibitisha kuwa ndugu zetu hawa kweli "hawalali"! Maana wanaolala wanaonekana wakirukaruka na vyimbo za TOT kwani hawakosi usingizi kuhusu Buzwagi, Richmond, ATC, n.k !!

Na asante kwa kutuonesha hatimaye kwa ushahidi wa picha na maneno yako kwamba hawa jamaa wanahitaji kuungwa mkono ili wasikate tamaa! Sura zao siyo tu zinaonesha kuchoka bali pia zinaonesha kujali. Wanaonekana ni watu ambao wanatumia muda wao mwingi kuwaza kuwazua maslahi na mustakabali wa Taifa lao.

Sasa tukiwalinganisha hao na hawa:

normal_DSC00327.JPG

Ni wazi kuwa "waliochoka" wanaokana wamefanya kazi.

Au ukiwalingisha hawa kina JK na kundi la "watatu" wenzangu tulipotaka kibaruani! Believe me, hata matabasamu yetu yanaonesha tumetoka kazini!!


mkulima.jpg

Sasa to make the long story short..

Niko tayari saa yoyote, mahali popote, na wakati wowote nitakaomriwa kusimama na wale wote ambao wanakosa usingizi kwa kuiwazia nchi yao, wanaokesha usiku kucha kupanga na kupangua jinsi ya kupambana ufisadi, na wale wote ambao siyo tu wanacheka cheka kwa sababu ya kupigiwa makofi, bali wanasema ukweli hata kama hakuna mtu wa kuwashangilia!! yes sir! Binafsi napenda nihesabiwe miongoni mwa wale waliochoka kwa kazi ngumu wanayoifanya kwa ajili ya Taifa lao, lakini hawaweki manyanga au kususa kazi (kama alivyofanya mmojawapo hapo juu)!

Binafsi nimechoka na ufisadi, ubadhirifu, wizi wa mali ya umma, matumizi mabaya ya madaraka, mikataba mibovu, unyanyasaji wa kijinsi, mazingaombwe ya kisiasa, ubabe wa uongozi, uharamia wa pesa, unafiki wa washangiliao na kwa hakika nimechoka na wale wote ambao wanafikiri kuwa Tanzania ni mali yao na sisi wengine ni wapangaji!!! NA MIMI NIMECHOKA!! Count me in sir miongoni mwa wachokao, lakini wasiokata tamaa wala kusalimu amri!!!!
 
Ndiyo wamechoka, lakini hawajakata tamaa! Wamechoka kupambana na wezi wa fedha zetu na ambao wanaendelea kula kama mchwa! Ni lazima mtu uchoke.

Baada ya kupambana nao katika mahakama ya watu na katika uchaguzi ambao vijana wao walitiwa mapamba mbele ya macho ya CCM ikidaiwa ni "morani" lazima mtu achoke!

Anachoka mtu aliyefanya kazi; mtu mvivu hachoki! Jamaa hawa wameitumikia nchi yao kwa uthabiti na ujasiri mkubwa. Mrema alianza na sakata la Benki Kuu miaka 15 iliyopita leo hii historia inamlipizia kisasi chake; lazima achoke!

Kupambana na watu wenye nguvu kama kina Lowassa, RA, Chenge, JK, na timu yao nzima na kuweza kusimama kidete na kuitwa kila aina ya majina na kuweka kila aina ya mapingamizi usifanikiwe ni lazima mtu achoke!!

Mstahiki asante kwa posti hii kwani umethibitisha kuwa ndugu zetu hawa kweli "hawalali"! Maana wanaolala wanaonekana wakirukaruka na vyimbo za TOT kwani hawakosi usingizi kuhusu Buzwagi, Richmond, ATC, n.k !!

Na asante kwa kutuonesha hatimaye kwa ushahidi wa picha na maneno yako kwamba hawa jamaa wanahitaji kuungwa mkono ili wasikate tamaa! Sura zao siyo tu zinaonesha kuchoka bali pia zinaonesha kujali. Wanaonekana ni watu ambao wanatumia muda wao mwingi kuwaza kuwazua maslahi na mustakabali wa Taifa lao.

Sasa tukiwalinganisha hao na hawa:

normal_DSC00327.JPG

Ni wazi kuwa "waliochoka" wanaokana wamefanya kazi.

Au ukiwalingisha hawa kina JK na kundi la "watatu" wenzangu tulipotaka kibaruani! Believe me, hata matabasamu yetu yanaonesha tumetoka kazini!!


mkulima.jpg

Sasa to make the long story short..

Niko tayari saa yoyote, mahali popote, na wakati wowote nitakaomriwa kusimama na wale wote ambao wanakosa usingizi kwa kuiwazia nchi yao, wanaokesha usiku kucha kupanga na kupangua jinsi ya kupambana ufisadi, na wale wote ambao siyo tu wanacheka cheka kwa sababu ya kupigiwa makofi, bali wanasema ukweli hata kama hakuna mtu wa kuwashangilia!! yes sir! Binafsi napenda nihesabiwe miongoni mwa wale waliochoka kwa kazi ngumu wanayoifanya kwa ajili ya Taifa lao, lakini hawaweki manyanga au kususa kazi (kama alivyofanya mmojawapo hapo juu)!

Binafsi nimechoka na ufisadi, ubadhirifu, wizi wa mali ya umma, matumizi mabaya ya madaraka, mikataba mibovu, unyanyasaji wa kijinsi, mazingaombwe ya kisiasa, ubabe wa uongozi, uharamia wa pesa, unafiki wa washangiliao na kwa hakika nimechoka na wale wote ambao wanafikiri kuwa Tanzania ni mali yao na sisi wengine ni wapangaji!!! NA MIMI NIMECHOKA!! Count me in sir miongoni mwa wachokao, lakini wasiokata tamaa wala kusalimu amri!!!!

Umetema nyongo mkuu kama mtoa mada akili yake ina akili kama asemevyo jamaa fulani humu hatatia neno tena .Lakini bwana weee la kuvunda ndugu .Wacha tuone
 
The heading was very irritating...!

Ahsanteni kwa kumfundisha, kama ni TAAHIRA atarudi tena...!

Mataahira wengi wako kimya na wanahesabiwa kuwa wenye hekima na busara!
 
The heading was very irritating...!

Ahsanteni kwa kumfundisha, kama ni TAAHIRA atarudi tena...!

Mataahira wengi wako kimya na wanahesabiwa kuwa wenye hekima na busara!

Hapana nadhani mtoa hoja ana hoja ya msingi hapa, upinzani Tanzania bado unalegalega kile kivumo cha Mrema cha 1995 hakijafikiwa na Chadema wala CUF
 
The heading was very irritating...!

Ahsanteni kwa kumfundisha, kama ni TAAHIRA atarudi tena...!

Mataahira wengi wako kimya na wanahesabiwa kuwa wenye hekima na busara!
HII INAITWA defensive mechanism YA KUKIMBIA HOJA...!
 
WanaJF,
Baadhi ya hoja ambazo zimetolewa mwishoni mwa wiki iliyomalizika masaa machache yaliyopita zimetoa wito kwa wapinzani kwenda vijijini.Ninalo ombi binafsi hapo,kwamba tusiishie tu kuwaambia waende vijijini bali tupendekeze na namna ya kufanya zoezi hilo liwezekane. Binafsi nafahamiana kwa karibu na baadhi ya viongozi waandamizi katika kambi ya upinzani,wameonesha mara nyingi kutambua umuhimu wa kupeleka ujumbe wa mageuzi katika kila kona ya nchi,lakini wamekabiliwa na vikwazo vingi kiasi kwamba zoezi wakati mwingine limeonekana kushindikana.
Tatizo kubwa linalovikabili vyama vya upinzani nchini Tanzania ni ukosefu wa raslimali.Hivyo tunapoendelea kuwapa utume wa kupeleka ujumbe vijijini tujue tunawaambia pia wawe na hizo raslimali.
Ikumbukwe kwamba raslimali hizo ni pamoja na fedha,watu,muda na nyenzo nyinginezo.
Kwa upande wa fedha,si siri kwamba vyama vilivyo vingi nchini mwetu viko hoi bin taaban kifedha. viko ambavyo vimeshindwa mara kadhaa kufanya kampeni kisa pesa hamna. hapa mwenye kutaka ushahidi akumbuke jinsi mgomea urais wa Demokrasia Makini mwaka 2005 alivyofanya kampeni kwa kutumia personal saloon car,akaishia kuzunguka Dar na Zanzibar,kazi ikakwama na ujumbe wake haukufika.
Mfano mwingine ni mgombea wa chama cha TPP Maendeleo,alifika mahali akawaomba watanzania hadharani wamuwezesha kifedha apeleke ujumbe nchi nzima,maskini hakusikilizwa.
Kwa ufupi vyama ambavyo viko registered lakini hadi sasa kimya kama havipo,tatizo liko hapo...resources.
Wakatati hali ndio hiyo wanayepaswa kushindana naye,CCM ruzuku yake sh takribani bilioni moja kwa mwezi,mafisadi wachangiaji wamejaa huko,kina vitega uchumi nchi nzima(matharani viwanja vya michezo),kina dola mkononi,to mention but a few.
Kabla sijaenda mbali,wanaJF mlio wanachama wa vyama hivi toeni michango yenu ya kifedha pia kuvi-support. Msifikiri kupambana na chama chenye ukwasi kupindukia ni jambo rahisi. Kama hatutaelewana hapo,hakika nawambia msishangae tukiadhimisha miaka 100 ya JF na zimwi la nambari wani liko pale pale magogoni.
Jamani vyama vina hali mbaya,baadhi akaunti zao za benki ziko domant kwa miaka kadhaa sasa,wengine hata kumbi walikofanyia mikutano zamani wanadaiwa hadi leo,wengine inabidi wateuane tu kushika nyadhifa zinazostahili kupewa watu wa kuchaguliwa,nia ya uchaguzi ipo,uwezo wa kuendesha uchaguzi ndani ya vyama haupo.Hivi ndivyo vyama mnavyovituma kwenda vijijini?

Kuhusu raslimali watu,na nyinginezo nitakuja tena baadaye...
 
WanaJF,
Baadhi ya hoja ambazo zimetolewa mwishoni mwa wiki iliyomalizika masaa machache yaliyopita zimetoa wito kwa wapinzani kwenda vijijini.Ninalo ombi binafsi hapo,kwamba tusiishie tu kuwaambia waende vijijini bali tupendekeze na namna ya kufanya zoezi hilo liwezekane. Binafsi nafahamiana kwa karibu na baadhi ya viongozi waandamizi katika kambi ya upinzani,wameonesha mara nyingi kutambua umuhimu wa kupeleka ujumbe wa mageuzi katika kila kona ya nchi,lakini wamekabiliwa na vikwazo vingi kiasi kwamba zoezi wakati mwingine limeonekana kushindikana.
Tatizo kubwa linalovikabili vyama vya upinzani nchini Tanzania ni ukosefu wa raslimali.Hivyo tunapoendelea kuwapa utume wa kupeleka ujumbe vijijini tujue tunawaambia pia wawe na hizo raslimali.
Ikumbukwe kwamba raslimali hizo ni pamoja na fedha,watu,muda na nyenzo nyinginezo.
Kwa upande wa fedha,si siri kwamba vyama vilivyo vingi nchini mwetu viko hoi bin taaban kifedha. viko ambavyo vimeshindwa mara kadhaa kufanya kampeni kisa pesa hamna. hapa mwenye kutaka ushahidi akumbuke jinsi mgomea urais wa Demokrasia Makini mwaka 2005 alivyofanya kampeni kwa kutumia personal saloon car,akaishia kuzunguka Dar na Zanzibar,kazi ikakwama na ujumbe wake haukufika.
Mfano mwingine ni mgombea wa chama cha TPP Maendeleo,alifika mahali akawaomba watanzania hadharani wamuwezesha kifedha apeleke ujumbe nchi nzima,maskini hakusikilizwa.
Kwa ufupi vyama ambavyo viko registered lakini hadi sasa kimya kama havipo,tatizo liko hapo...resources.
Wakatati hali ndio hiyo wanayepaswa kushindana naye,CCM ruzuku yake sh takribani bilioni moja kwa mwezi,mafisadi wachangiaji wamejaa huko,kina vitega uchumi nchi nzima(matharani viwanja vya michezo),kina dola mkononi,to mention but a few.
Kabla sijaenda mbali,wanaJF mlio wanachama wa vyama hivi toeni michango yenu ya kifedha pia kuvi-support. Msifikiri kupambana na chama chenye ukwasi kupindukia ni jambo rahisi. Kama hatutaelewana hapo,hakika nawambia msishangae tukiadhimisha miaka 100 ya JF na zimwi la nambari wani liko pale pale magogoni.
Jamani vyama vina hali mbaya,baadhi akaunti zao za benki ziko domant kwa miaka kadhaa sasa,wengine hata kumbi walikofanyia mikutano zamani wanadaiwa hadi leo,wengine inabidi wateuane tu kushika nyadhifa zinazostahili kupewa watu wa kuchaguliwa,nia ya uchaguzi ipo,uwezo wa kuendesha uchaguzi ndani ya vyama haupo.Hivi ndivyo vyama mnavyovituma kwenda vijijini?

Kuhusu raslimali watu,na nyinginezo nitakuja tena baadaye...

Waridi,

Ni kweli kuwa ni vigumu sana kushindana na chama kinachotumia pesa za Benki kuu ambazo ni hazina ya watanzania kufanyia Kampeni.

Mimi ningeshauri ruzuku kwa vyama vya siasa ifutwe ili vyama vyote viwe sawa. CCM wanapokea mabilioni ya pesa kwa mwaka toka serikalini na wanazitumia kuhonga wapiga kura. Ni vizuri kuwe na campaign reform. Ruzuku ifutwe na wagombea waeleze vyanzo vyao vya mapato.
 
Kuna umuhimu wa kuangalia upya vigezo vya kutoa hii ruzuku...........the idea ya ruzuku ni nzuri isipokuwa hii ya kwamba eti chama kilicho na wabungw wengi ndio kipate ruzuku zaidi imepitwa na wakati

kazi ya ubunge ni ya kujitolea, hawa wabunge wanapata mshahara, allowances (several), wanapata pia pesa ya maendeleo ya jimbo lake..........

......... i mean hizi ruzuku ni too much waste of tax payer's money.

kama vyama vyote vina lengo la kuinua maisha ya Mtanzania na vyote ni vyama vya Kitaifa.....lets give them money ambazo ziwe na return......wananchi pesa yetu isiwe ya kuliwa tu eti kuimarisha chama peke yake
 
Kuna umuhimu wa kuangalia upya vigezo vya kutoa hii ruzuku...........the idea ya ruzuku ni nzuri isipokuwa hii ya kwamba eti chama kilicho na wabungw wengi ndio kipate ruzuku zaidi imepitwa na wakati

kazi ya ubunge ni ya kujitolea, hawa wabunge wanapata mshahara, allowances (several), wanapata pia pesa ya maendeleo ya jimbo lake..........

......... i mean hizi ruzuku ni too much waste of tax payer's money.

kama vyama vyote vina lengo la kuinua maisha ya Mtanzania na vyote ni vyama vya Kitaifa.....lets give them money ambazo ziwe na return......wananchi pesa yetu isiwe ya kuliwa tu eti kuimarisha chama peke yake

Ogah,

kweli kabisa, hizi ruzuku ni matumizi mabaya kabisa ya pesa za kodi. Sijawahi kuona taarifa ya matumizi ya CCM sehemu yoyote ile ingawa wanatumia pesa za kodi kuendesha chama. Ruzuku zifutwe kabisaaaaaaa
 
Ogah,

kweli kabisa, hizi ruzuku ni matumizi mabaya kabisa ya pesa za kodi. Sijawahi kuona taarifa ya matumizi ya CCM sehemu yoyote ile ingawa wanatumia pesa za kodi kuendesha chama. Ruzuku zifutwe kabisaaaaaaa

unadhani mfumo wa vyama vingi utakuwa hai ?
 
Ogah,

kweli kabisa, hizi ruzuku ni matumizi mabaya kabisa ya pesa za kodi. Sijawahi kuona taarifa ya matumizi ya CCM sehemu yoyote ile ingawa wanatumia pesa za kodi kuendesha chama. Ruzuku zifutwe kabisaaaaaaa

ni kumaanisha umetafuta bila ya mafanikio kuona jinsi wanavyospend, au umekuwa mvivu kiasi kwamba umeshindwa kupata jibu ? wewe, unajua ccm ina vyanzo vingapi vya kupata fedha kuendesha chama mbali na hiyo ruzuku ??
 
ni kumaanisha umetafuta bila ya mafanikio kuona jinsi wanavyospend, au umekuwa mvivu kiasi kwamba umeshindwa kupata jibu ? wewe, unajua ccm ina vyanzo vingapi vya kupata fedha kuendesha chama mbali na hiyo ruzuku ??

Kama unavijua unaweza tu kuvisema, maana hapa JF havipo kabisaaa na website ya ccm haisemi chochote kuhusu matumizi ya pesa za chama.
 
Hili sio tatizo, Vyama vinajengwa kwa michango ya wanachama husika na wala sio pesa ya kodi toka kwa hata wale ambao sio wanachama wa vyama vya siasa.

wewe una miaka mingapi ?? unadhani chama kikikosa mambo ya PR kitakuwa chama tena ? Na hiyo PR itaendeshwa vipi kama huna mshiko ?UNLESS ungesema watumie another source kuendesha chama nitakuelewa, LAKINI unaposema chama kinajengwa na wanachama husika ALONE, are you seriou ? kama hivyo nadhani kila mtu angekuwa na chama chake bongo ! Au pia vile vile JF ingekuwa kuwa bonge la chama huoni hilo ?
Kwa hilo nakataa, Ruzuku isifutwe !
 
Kama unavijua unaweza tu kuvisema, maana hapa JF havipo kabisaaa na website ya ccm haisemi chochote kuhusu matumizi ya pesa za chama.

nani aliyekwambia ccm ipo affiliated na JF ???? nenda ofisi ndogo za ccm, watakupa taarifa. Lazima kila kitu kiwekwe kwenye mtandao ?? watakupa hardcopy then unaweza kusambaza !
 
wewe una miaka mingapi ?? unadhani chama kikikosa mambo ya PR kitakuwa chama tena ? Na hiyo PR itaendeshwa vipi kama huna mshiko ?UNLESS ungesema watumie another source kuendesha chama nitakuelewa, LAKINI unaposema chama kinajengwa na wanachama husika ALONE, are you seriou ? kama hivyo nadhani kila mtu angekuwa na chama chake bongo ! Au pia vile vile JF ingekuwa kuwa bonge la chama huoni hilo ?
Kwa hilo nakataa, Ruzuku isifutwe !

Haya ni mawazo yako na mimi pia nina yangu katika hili kuwa ni makosa kutumia pesa ya kodi kugharimia vyama vya siasa.
 
nani aliyekwambia ccm ipo affiliated na JF ???? nenda ofisi ndogo za ccm, watakupa taarifa. Lazima kila kitu kiwekwe kwenye mtandao ?? watakupa hardcopy then unaweza kusambaza !

Kada,

JF ni very reputable website ambayo wana ccm kama wangekuwa wazi wangekimbia hapa na kuweka report za mapato na matumizi yao ili kuonyesha mfano.

Kazi ya kusambaza report ya pesa za ccm itafanywa vizuri zaidi na viongozi wa chama hicho na sio mimi ambaye siye mwanachama wa ccm. Ndio maana napinga ruzuku maana hakuna uwazi kabisa katika masuala ya fedha.
 
Haya ni mawazo yako na mimi pia nina yangu katika hili kuwa ni makosa kutumia pesa ya kodi kugharimia vyama vya siasa.

kama utaangalia kwa makini, nafikiri utagundua kwamba hizo pesa zinakuwa recycled !

Hizo pesa ni za walipa kodi, right ?
Vyama vinashughulikia maslahi ya nani, kama sio hao hao walipa kodi ?
Kila mtu ana maoni yake, hayo ni yangu ! na hiyo ni fact vile vile !
 
kama utaangalia kwa makini, nafikiri utagundua kwamba hizo pesa zinakuwa recycled !

Hizo pesa ni za walipa kodi, right ?
Vyama vinashughulikia maslahi ya nani, kama sio hao hao walipa kodi ?
Kila mtu ana maoni yake, hayo ni yangu ! na hiyo ni fact vile vile !

Sio vyama vyote vinashughulikia masuala ya wananchi wanaolipa kodi. Je unaweza kusema kuwa viongozi wa ccm wanavyouza nchi kwa wazungu wanafanya hivyo kwa manufaa ya walipa kodi?
 
Back
Top Bottom