Mantiki yangu nimevaa viatu vyake nimeona nivikubwa kwangu imagine uchangamfu ule kumbe mtu anaumwa na anajua hatapona hebu vaa viatu vyake.Sasa uzi mbona umekaa kiwaki sana? Labda niulize ni nini mantiki ya uzi wako?
Kuna asiejua kuwa atakufa?
Alikuambia kuwa alikuwa anaumwa anajua hatapaona?Mantiki yangu nimevaa viatu vyake nimeona nivikubwa kwangu imagine uchangamfu ule kumbe mtu anaumwa na anajua hatapona hebu vaa viatu vyake.
da jamaa amefariki du nilikua namkubali sana na ka id kake ka aki na ukwaBinafsi namchukulia warumi Kama shujaa kwasababu nimejiuliza maswali yafuatayo.
Ugonjwa wake wa Figo sio kitu kilichokuja ghafla Kama ajali ya bodaboda ulianza polepole hatua kwa hatua mpaka ulipochukua maisha yake.
Kama ndivyo Basi alivumilia Sana mateso hasa ya kujua kwamba atakufa hatapona.lakini pamoja ya mateso yote hayo hakuacha kutuburudisha kwa mastori ya town.
Lala warumi mwendo umeumaliza.
Poleni kwa msiba...da jamaa amefariki du nilikua namkubali sana na ka id kake ka aki na ukwa