Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,816
- 8,809
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RipBinafsi namchukulia warumi Kama shujaa kwasababu nimejiuliza maswali yafuatayo.
Ugonjwa wake wa Figo sio kitu kilichokuja ghafla Kama ajali ya bodaboda ulianza polepole hatua kwa hatua mpaka ulipochukua maisha yake.
Kama ndivyo Basi alivumilia Sana mateso hasa ya kujua kwamba atakufa hatapona.lakini pamoja ya mateso yote hayo hakuacha kutuburudisha kwa mastori ya town.
Lala warumi mwendo umeumaliza.
Kwanini unaandika kama unakimbizwa mkuu!?? Hebu tulia uandike vizuri basi, wengi tunataka kujua kuhusiana na yeye
-jirani yako ?
-rafiki yako ?
-Hii habari wewe umeipata wapi!?
Sijaelewa.RIP. Dunia hii si yetu hivyo tembea kwa adabu acha kupandisha matiti
Wapi wewe jamaa alikuwa haters wa diamond vibaya , alikuwa na mikakati na carrymastory, kuna kipind kila ubuyu ukitoka anadirect kwenye accnt ya carrymastory...!! Alikuwa timu kondeJamaa alikua ni fan wa Diamondi sanaaa.but tunaomba mwenye picha yake halic
Asta la vista Warumi.Ulale pema peponiBinafsi namchukulia warumi Kama shujaa kwasababu nimejiuliza maswali yafuatayo.
Ugonjwa wake wa Figo sio kitu kilichokuja ghafla Kama ajali ya bodaboda ulianza polepole hatua kwa hatua mpaka ulipochukua maisha yake.
Kama ndivyo Basi alivumilia Sana mateso hasa ya kujua kwamba atakufa hatapona lakini pamoja ya mateso yote hayo hakuacha kutuburudisha kwa mastori ya town.
Lala warumi mwendo umeumaliza.