Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini hamtaki kuleta picha ya marehemu?Binafsi namchukulia warumi Kama shujaa kwasababu nimejiuliza maswali yafuatayo.
Ugonjwa wake wa Figo sio kitu kilichokuja ghafla Kama ajali ya bodaboda ulianza polepole hatua kwa hatua mpaka ulipochukua maisha yake.
Kama ndivyo Basi alivumilia Sana mateso hasa ya kujua kwamba atakufa hatapona lakini pamoja ya mateso yote hayo hakuacha kutuburudisha kwa mastori ya town.
Lala warumi mwendo umeumaliza.
Sahihi kabisa I was there kuna mama aliongea kama ulivosema!Mantiki yangu nimevaa viatu vyake nimeona nivikubwa kwangu imagine uchangamfu ule kumbe mtu anaumwa na anajua hatapona hebu vaa viatu vyake.
AiseeNadhani na ndio HANSI Mtanashati
Asipoonekana huyu tutajua alikuwa yeye
warumi njoo ujibu maswali huku tunaulizwa eti kama ulijua utakufaBinafsi namchukulia warumi Kama shujaa kwasababu nimejiuliza maswali yafuatayo.
Ugonjwa wake wa Figo sio kitu kilichokuja ghafla Kama ajali ya bodaboda ulianza polepole hatua kwa hatua mpaka ulipochukua maisha yake.
Kama ndivyo Basi alivumilia Sana mateso hasa ya kujua kwamba atakufa hatapona lakini pamoja ya mateso yote hayo hakuacha kutuburudisha kwa mastori ya town.
Lala warumi mwendo umeumaliza.
Mkuu acha mizaha kwenye issue zilizochukua hisia za watu ndani ya kadamnasiwarumi njoo ujibu maswali huku tunaulizwa eti kama ulijua utakufa
Sasa jamani tunaulizana kama alijua atakufa.Mkuu acha mizaha kwenye issue zilizochukua hisia za watu ndani ya kadamnasi
Mwandiko kama wa ndugu yetu Joshua.ok:RIP. Dunia hii si yetu hivyo tembea kwa adabu acha kupandisha matiti
Nyie warumi kafa kweli au mnazinguana tu?