Nachukia hii..yaani mwenzio ameandika Warumi wewe unakuja walumi...daahrip walumi japo sikujui
niliuguza shemeji yangu pale
dr mmoja akaniambia ndugu yako atakufa mtafutie njia nyingine
akaponea kwa mganga.
Embu kua serious, hivi uchawi upo!?
Walumi ndio nini?rip walumi japo sikujui
Pengine umri wako ni mdogo. Huwa inafika wakati/umri unaona ni heri kufa kulingana na unayopitia.Imagine uumwe halafu unajua hutapona utakufa utakata roho utaiacha dunia kwa wengine Hali hii tu ingewaletea stress za kufa mtu Ila yeye aliandika maparagraf kibao kutujuza mastori ya town