Je, Warumi alijua kwamba atakufa?

Je, Warumi alijua kwamba atakufa?

Story gani alitoa mbona nipo kitambo jfm but simfahamu kabisa , mwenye uzi hata mmoja wa huyu warumi anidondoshee basi
 
Imagine uumwe halafu unajua hutapona utakufa utakata roho utaiacha dunia kwa wengine Hali hii tu ingewaletea stress za kufa mtu Ila yeye aliandika maparagraf kibao kutujuza mastori ya town
Pengine umri wako ni mdogo. Huwa inafika wakati/umri unaona ni heri kufa kulingana na unayopitia.
 
Kufa ndio kitu Cha uhakika kabisa ninachokifahamu nitapita.R.I.P
 
Back
Top Bottom