Decree Holder
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 2,559
- 3,745
Ndugu wanabodi ikiwa ni masaa kadhaa toka Aslay aachie ngoma yake iitwayo KAITESI nao upande wa Wasafi wameachia ngoma yao kupitia harmonize iitwayo DM-Chick.
Je ni kweli Wasafi walikuwa wanampango wa kuachia ngoma leo au ni njama za kumzima Aslay ambaye anaonekana kuonesha ushindani kwa sasa?
Je uachiaji wa ngoma huu ni coincidence au kuna ajenda ya siri nyuma ya pazia?
Je ni kweli Wasafi walikuwa wanampango wa kuachia ngoma leo au ni njama za kumzima Aslay ambaye anaonekana kuonesha ushindani kwa sasa?
Je uachiaji wa ngoma huu ni coincidence au kuna ajenda ya siri nyuma ya pazia?