Je, Wateule wa Rais wanatetea nafasi zao au wanaamini kuwa Rais Magufuli ni mtu mwenye akili na hawezi kukosea katika kila jambo?

Je, Wateule wa Rais wanatetea nafasi zao au wanaamini kuwa Rais Magufuli ni mtu mwenye akili na hawezi kukosea katika kila jambo?

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Nawasalimu katika jina la Muumba.

Kila Rais anapotamka jambo, au kipindi kingine anapogusia mada fulani kwa maoni au hata kutoa ushauri siku chache mbele Waziri mwenye dhamana na mada husika lazima atatoa kauli au amri ya kushinikiza jambo lifanyike kama alivyoshauri Rais bila hata ya kuchukua maoni kwa wadau husika.

Je, hawa wateule wanaamini kuwa Rais Magufuli ni mtu mwenye akili sana na hawezi kuteleza au njaa ya madaraka huwafanya wasiangalie effects ya jambo lolote na madala yake hufanya kila kitu wanachoona kuwa Rais anakipenda?
 
Kwa mfano Wizara ya Elimu wanaposema watafundisha historia kuanzaia ngazi ya chini,lini wizara imewaandaa hao waalimu katika vyuo vipi, mitaala imeandaliwa lini, tuna waalimu wa kutosha maana itabidi uajiri waalimu wa historia wengi zaidi.

Ni lini historia ilikuwa haifundishwi?
 
Nawasalimu katika jina la Muumba.

Kila Rais anapotamka jambo, au kipindi kingine anapogusia mada fulani kwa maoni au hata kutoa ushauri siku chache mbele Waziri mwenye dhamana na mada husika lazima atatoa kauli au amri ya kushinikiza jambo lifanyike kama alivyoshauri Rais bila hata ya kuchukua maoni kwa wadau husika.

Je, hawa wateule wanaamini kuwa Rais Magufuli ni mtu mwenye akili sana na hawezi kuteleza au njaa ya madaraka huwafanya wasiangalie effects ya jambo lolote na madala yake hufanya kila kitu wanachoona kuwa Rais anakipenda?
Kwa mfano Ndalichako angekuwa anajiamini na usomi wake hasingekurupuka kuanzisha somo la Historia wakati miaka yote watu wanajifunza historia. Sasa sijui hiyo historia nyingine wanataka kufundishe utopolo upi.

Yaani elimu za kuunga unga zinafanya watu wanaoitwa madokta na mapropesa wasijiamini hata kiduchuuuuu.
 
Kwa mfano Ndalichako angekuwa anajiamini na usomi wake hasingekurupuka kuanzisha somo la Historia wakati miaka yote watu wanajifunza historia. Sasa sijui hiyo historia nyingine wanataka kufundishe utopolo upi.

Yaani elimu za kuunga unga zinafanya watu wanaoitwa madokta na mapropesa wasijiamini hata kiduchuuuuu.
Mpaka unajiuliza hivi kweli hawa ni watu au ni viumbe vingine tu!
 
Nawasalimu katika jina la Muumba.

Kila Rais anapotamka jambo, au kipindi kingine anapogusia mada fulani kwa maoni au hata kutoa ushauri siku chache mbele Waziri mwenye dhamana na mada husika lazima atatoa kauli au amri ya kushinikiza jambo lifanyike kama alivyoshauri Rais bila hata ya kuchukua maoni kwa wadau husika.

Je, hawa wateule wanaamini kuwa Rais Magufuli ni mtu mwenye akili sana na hawezi kuteleza au njaa ya madaraka huwafanya wasiangalie effects ya jambo lolote na madala yake hufanya kila kitu wanachoona kuwa Rais anakipenda?
Magufuli ni wa kawaida kama mwanafunzi ni wale wa C au D. Angekuwa ni wa A au A+ baada ya Form IV asingepita Mkwawa kusoma Teaching, kisha afundishe Lake Secondary na ndiyo aingie UDSM kwa mfumo wa Mature Age Matriculation.

Ila kwa bahati mbaya anajifanya ana akili sana, lakini mtupu tu
 
Nawasalimu katika jina la Muumba.

Kila Rais anapotamka jambo, au kipindi kingine anapogusia mada fulani kwa maoni au hata kutoa ushauri siku chache mbele Waziri mwenye dhamana na mada husika lazima atatoa kauli au amri ya kushinikiza jambo lifanyike kama alivyoshauri Rais bila hata ya kuchukua maoni kwa wadau husika.

Je, hawa wateule wanaamini kuwa Rais Magufuli ni mtu mwenye akili sana na hawezi kuteleza au njaa ya madaraka huwafanya wasiangalie effects ya jambo lolote na madala yake hufanya kila kitu wanachoona kuwa Rais anakipenda?
Sasa hv njaa ndio inasumbua,
Jana nimemsikia Mbunge TaleTale akisema "kuanzia leo yeye ni chawa"wa Maghufuri.
Huku nikujipendekeza kupita kiasi,hata ikitokea Maghu akanya juu ya meza,atasema hapana mkuu amepiga chafya tu!
 
Nawasalimu katika jina la Muumba.

Kila Rais anapotamka jambo, au kipindi kingine anapogusia mada fulani kwa maoni au hata kutoa ushauri siku chache mbele Waziri mwenye dhamana na mada husika lazima atatoa kauli au amri ya kushinikiza jambo lifanyike kama alivyoshauri Rais bila hata ya kuchukua maoni kwa wadau husika.

Je, hawa wateule wanaamini kuwa Rais Magufuli ni mtu mwenye akili sana na hawezi kuteleza au njaa ya madaraka huwafanya wasiangalie effects ya jambo lolote na madala yake hufanya kila kitu wanachoona kuwa Rais anakipenda?

Hali iko hivi!
IMG_6929.jpg
 
Sasa hv njaa ndio inasumbua,
Jana nimemsikia Mbunge TaleTale akisema "kuanzia leo yeye ni chawa"wa Maghufuri.
Huku nikujipendekeza kupita kiasi,hata ikitokea Maghu akanya juu ya meza,atasema hapana mkuu amepiga chafya tu!
Duuuuuuhhh, alijiita chawa?
 
Magufuli ni wa kawaida kama mwanafunzi ni wale wa C au B. Angekuwa ni wa A au A+ baada ya Form IV asingepita Mkwawa kusoma Teaching, kisha afundishe Lake Secondary na ndiyo aingie UDSM kwa mfumo wa Mature Age Matriculation.

Ila kwa bahati mbaya anajifanya ana akili sana, lakini mtupu tu
Wenzako wanatamani itoke amri waanze kumwabudu
 
Nawasalimu katika jina la Muumba.

Kila Rais anapotamka jambo, au kipindi kingine anapogusia mada fulani kwa maoni au hata kutoa ushauri siku chache mbele Waziri mwenye dhamana na mada husika lazima atatoa kauli au amri ya kushinikiza jambo lifanyike kama alivyoshauri Rais bila hata ya kuchukua maoni kwa wadau husika.

Je, hawa wateule wanaamini kuwa Rais Magufuli ni mtu mwenye akili sana na hawezi kuteleza au njaa ya madaraka huwafanya wasiangalie effects ya jambo lolote na madala yake hufanya kila kitu wanachoona kuwa Rais anakipenda?
Wapo kimaslahi zaidi ila makosa yapo mengi sana na wanayatambua
 
Back
Top Bottom