Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,769
- 16,799
Taasisi ya watu wasiojitambuaRais ni taasisi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taasisi ya watu wasiojitambuaRais ni taasisi!
Ni wa C au D sio BMagufuli ni wa kawaida kama mwanafunzi ni wale wa C au B. Angekuwa ni wa A au A+ baada ya Form IV asingepita Mkwawa kusoma Teaching, kisha afundishe Lake Secondary na ndiyo aingie UDSM kwa mfumo wa Mature Age Matriculation.
Ila kwa bahati mbaya anajifanya ana akili sana, lakini mtupu tu
Kwa mfano Wizara ya Elimu wanaposema watafundisha historia kuanzaia ngazi ya chini; lini wizara imewaandaa hao waalimu katika vyuo vipi, mitaala imeandaliwa lini, tuna waalimu wa kutosha maana itabidi uajiri waalimu wa historia wengi zaidi.
Ni lini historia ilikuwa haifundishwi?
Aaah wapi hiyo ilikuwa zamani mjomba siku hizi one man show.Rais ni taasisi!
Magufuli ni wa kawaida kama mwanafunzi ni wale wa C au B. Angekuwa ni wa A au A+ baada ya Form IV asingepita Mkwawa kusoma Teaching, kisha afundishe Lake Secondary na ndiyo aingie UDSM kwa mfumo wa Mature Age Matriculation.
Ila kwa bahati mbaya anajifanya ana akili sana, lakini mtupu tu
Unaelewa maana ya taasisi bwashee?!
Nyerere, Jakaya na Mkapa hawakupita 'sheli' kujazia marks za kufika chuo kikuu
Kweli Mkuu nashukuru kwa kuweka vizuri. Maana hata ile Makoko Seminari alwahi kufukuzwaNi wa C au D sio B
Ni taasisi lakini haifanyi kazi kama taasisi.Unaelewa maana ya taasisi bwashee?!
mwisho wake wa enzi, umeonyesha jamaa alikuwa mtupu.Magufuli ni wa kawaida kama mwanafunzi ni wale wa C au D. Angekuwa ni wa A au A+ baada ya Form IV asingepita Mkwawa kusoma Teaching, kisha afundishe Lake Secondary na ndiyo aingie UDSM kwa mfumo wa Mature Age Matriculation.
Ila kwa bahati mbaya anajifanya ana akili sana, lakini mtupu tu