Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Jiwe anatafuta sababu za kumpokonya Uwaziri Mama chako.Kwa mfano Wizara ya Elimu wanaposema watafundisha historia kuanzaia ngazi ya chini,lini wizara imewaandaa hao waalimu katika vyuo vipi, mitaala imeandaliwa lini, tuna waalimu wa kutosha maana itabidi uajiri waalimu wa historia wengi zaidi.
Kwa mfano Wizara ya Elimu wanaposema watafundisha historia kuanzaia ngazi ya chini,lini wizara imewaandaa hao waalimu katika vyuo vipi, mitaala imeandaliwa lini, tuna waalimu wa kutosha maana itabidi uajiri waalimu wa historia wengi zaidi.
Kwahiyo kama Rais ni taasisi hawa viongozi wafungie akili zao kabatini na kuanza kumwona Magufuli mungu wao?Rais ni taasisi!
Unaelewa maana ya taasisi bwashee?!Kwahiyo kama Rais ni taasisi hawa viongozi wafungie akili zao kabatini na kuanza kumwona Magufuli mungu wao?
Kwa mfano Ndalichako angekuwa anajiamini na usomi wake hasingekurupuka kuanzisha somo la Historia wakati miaka yote watu wanajifunza historia. Sasa sijui hiyo historia nyingine wanataka kufundishe utopolo upi.Nawasalimu katika jina la Muumba.
Kila Rais anapotamka jambo, au kipindi kingine anapogusia mada fulani kwa maoni au hata kutoa ushauri siku chache mbele Waziri mwenye dhamana na mada husika lazima atatoa kauli au amri ya kushinikiza jambo lifanyike kama alivyoshauri Rais bila hata ya kuchukua maoni kwa wadau husika.
Je, hawa wateule wanaamini kuwa Rais Magufuli ni mtu mwenye akili sana na hawezi kuteleza au njaa ya madaraka huwafanya wasiangalie effects ya jambo lolote na madala yake hufanya kila kitu wanachoona kuwa Rais anakipenda?
Mpaka unajiuliza hivi kweli hawa ni watu au ni viumbe vingine tu!Kwa mfano Ndalichako angekuwa anajiamini na usomi wake hasingekurupuka kuanzisha somo la Historia wakati miaka yote watu wanajifunza historia. Sasa sijui hiyo historia nyingine wanataka kufundishe utopolo upi.
Yaani elimu za kuunga unga zinafanya watu wanaoitwa madokta na mapropesa wasijiamini hata kiduchuuuuu.
Dhana hii ya Rais ni taasisi haipo hapa Bongo hasa katika utawala wa huyu mtukufu mfalme Jiwe!Unaelewa maana ya taasisi bwashee?!
Magufuli ni wa kawaida kama mwanafunzi ni wale wa C au D. Angekuwa ni wa A au A+ baada ya Form IV asingepita Mkwawa kusoma Teaching, kisha afundishe Lake Secondary na ndiyo aingie UDSM kwa mfumo wa Mature Age Matriculation.Nawasalimu katika jina la Muumba.
Kila Rais anapotamka jambo, au kipindi kingine anapogusia mada fulani kwa maoni au hata kutoa ushauri siku chache mbele Waziri mwenye dhamana na mada husika lazima atatoa kauli au amri ya kushinikiza jambo lifanyike kama alivyoshauri Rais bila hata ya kuchukua maoni kwa wadau husika.
Je, hawa wateule wanaamini kuwa Rais Magufuli ni mtu mwenye akili sana na hawezi kuteleza au njaa ya madaraka huwafanya wasiangalie effects ya jambo lolote na madala yake hufanya kila kitu wanachoona kuwa Rais anakipenda?
Sasa hv njaa ndio inasumbua,Nawasalimu katika jina la Muumba.
Kila Rais anapotamka jambo, au kipindi kingine anapogusia mada fulani kwa maoni au hata kutoa ushauri siku chache mbele Waziri mwenye dhamana na mada husika lazima atatoa kauli au amri ya kushinikiza jambo lifanyike kama alivyoshauri Rais bila hata ya kuchukua maoni kwa wadau husika.
Je, hawa wateule wanaamini kuwa Rais Magufuli ni mtu mwenye akili sana na hawezi kuteleza au njaa ya madaraka huwafanya wasiangalie effects ya jambo lolote na madala yake hufanya kila kitu wanachoona kuwa Rais anakipenda?
Nawasalimu katika jina la Muumba.
Kila Rais anapotamka jambo, au kipindi kingine anapogusia mada fulani kwa maoni au hata kutoa ushauri siku chache mbele Waziri mwenye dhamana na mada husika lazima atatoa kauli au amri ya kushinikiza jambo lifanyike kama alivyoshauri Rais bila hata ya kuchukua maoni kwa wadau husika.
Je, hawa wateule wanaamini kuwa Rais Magufuli ni mtu mwenye akili sana na hawezi kuteleza au njaa ya madaraka huwafanya wasiangalie effects ya jambo lolote na madala yake hufanya kila kitu wanachoona kuwa Rais anakipenda?
Duuuuuuhhh, alijiita chawa?Sasa hv njaa ndio inasumbua,
Jana nimemsikia Mbunge TaleTale akisema "kuanzia leo yeye ni chawa"wa Maghufuri.
Huku nikujipendekeza kupita kiasi,hata ikitokea Maghu akanya juu ya meza,atasema hapana mkuu amepiga chafya tu!
Wenzako wanatamani itoke amri waanze kumwabuduMagufuli ni wa kawaida kama mwanafunzi ni wale wa C au B. Angekuwa ni wa A au A+ baada ya Form IV asingepita Mkwawa kusoma Teaching, kisha afundishe Lake Secondary na ndiyo aingie UDSM kwa mfumo wa Mature Age Matriculation.
Ila kwa bahati mbaya anajifanya ana akili sana, lakini mtupu tu
Rais ni taasisi!
Wapo kimaslahi zaidi ila makosa yapo mengi sana na wanayatambuaNawasalimu katika jina la Muumba.
Kila Rais anapotamka jambo, au kipindi kingine anapogusia mada fulani kwa maoni au hata kutoa ushauri siku chache mbele Waziri mwenye dhamana na mada husika lazima atatoa kauli au amri ya kushinikiza jambo lifanyike kama alivyoshauri Rais bila hata ya kuchukua maoni kwa wadau husika.
Je, hawa wateule wanaamini kuwa Rais Magufuli ni mtu mwenye akili sana na hawezi kuteleza au njaa ya madaraka huwafanya wasiangalie effects ya jambo lolote na madala yake hufanya kila kitu wanachoona kuwa Rais anakipenda?