Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
Habari zenu Wana Jf
Tumekuwa tuna ugomvi Mara kadhaa na wife me sio muongeaji Sana..nikionaga ugomvi ni mkubwa nakaa kimya au naondoka lkn Kama mmegombana usiku ujue uwezi kulala ataongea na kulaumu kila kitu.
Wife ana tabia mkigombana tu au ukampiga vibao viwili vitatu anakimbilia kuwakumbatia watoto huku analia....inabid nijishushe tu mbele ya watoto wasione mshua anazingua
Tumekuwa tuna ugomvi Mara kadhaa na wife me sio muongeaji Sana..nikionaga ugomvi ni mkubwa nakaa kimya au naondoka lkn Kama mmegombana usiku ujue uwezi kulala ataongea na kulaumu kila kitu.
Wife ana tabia mkigombana tu au ukampiga vibao viwili vitatu anakimbilia kuwakumbatia watoto huku analia....inabid nijishushe tu mbele ya watoto wasione mshua anazingua