dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
HIJA; nini maana yake kwa muktadha wa Kaaba?Hija haijaanza leo wala jana Toka wakati wa Ibrahim wanahiji, Mtu anazaliwa watu wanahiji hapo na kuna watu walikua wanaitwa Hanafi ambao walikua wakifuata Dini ya Ibrahim.