Je, Waziri Mchengerwa atatumbuliwa kama alivyotumbuliwa DC wa Longido?

Je, Waziri Mchengerwa atatumbuliwa kama alivyotumbuliwa DC wa Longido?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Nimeona taarifa ya kuambuliwa DC wa Longido kwa kauli kwamba uchaguzi wa 2020 ulifanywa na dola. Lakini pia Mhe. Mchengelwa ametumia kauli hiyo hiyo wakati akizungumza na wananchi pamoja na wana CCM?

Je, waziri atatumbuliwa? Nini madhara na faida ya tumbua tumbua? Waliotumbuliwa mishahara yao inakoma?
Kwa mfano..
Una mtumbuaje anae mpa raha mwanao. Yaani starehe ya mwanao uifukuze kazi??
 
Nimeona taarifa ya kutuambuliwa DC wa Longido kwa kauli kwamba uchaguzi wa 2020 ulifanywa na dola. Lakini pia Waziri Mchengelwa ametumia kauli hiyo hiyo wakati akizungumza na wananchi pamoja na wana CCM?

Je, waziri atatumbuliwa? Nini madhara na faida ya tumbua tumbua? Waliotumbuliwa mishahara yao inakoma?

Matamshi yake yalikuaje?
 
Amefanya kosa gani hadi atumbuliwe? Hivi unafahamu ya kuwa Mheshimiwa Mohamed Omar Mchengerwa ni Miongoni Mwa Mawaziri wachapakazi kuwahi kutokea hapa Nchini na walioitendea haki TAMISEMI? Hivi hujuwi kuwa Mheshimiwa Mchengerwa tunatamani kuona miaka michache ijayo akipanda zaidi ya hapo?

Inaonyesha wewe una chuki binafsi na Mheshimiwa waziri
 
Amefanya kosa gani hadi atumbuliwe? Hivi unafahamu ya kuwa Mheshimiwa Mohamed Omar Mchengerwa ni Miongoni Mwa Mawaziri wachapakazi kuwahi kutokea hapa Nchini na walioitendea haki TAMISEMI? Hivi hujuwi kuwa Mheshimiwa Mchengerwa tunatamani kuona miaka michache ijayo akipanda zaidi ya hapo?

Inaonyesha wewe una chuki binafsi na Mheshimiwa waziri
Sema wewe sio tuna ... Unatamani wewe na Ephen au ?
 
Nimeona taarifa ya kutuambuliwa DC wa Longido kwa kauli kwamba uchaguzi wa 2020 ulifanywa na dola. Lakini pia Waziri Mchengelwa ametumia kauli hiyo hiyo wakati akizungumza na wananchi pamoja na wana CCM?

Je, waziri atatumbuliwa? Nini madhara na faida ya tumbua tumbua? Waliotumbuliwa mishahara yao inakoma?

Pia soma:Kuelekea 2025 - DC wa Longido aliyesema alihusika kutengeneza mazingira ya Madiwani kushinda 2020 atenguliwa
Angekuwa ameshatumbuliwa kitambo, maana ile kauli ya Mchengelwa siyo ya jana.
 
Moshahara ya MADC,MADAS n.k sidhani kama huwa inakoma baada ya kutumbuliwa.
 
Nimeona taarifa ya kutuambuliwa DC wa Longido kwa kauli kwamba uchaguzi wa 2020 ulifanywa na dola. Lakini pia Waziri Mchengelwa ametumia kauli hiyo hiyo wakati akizungumza na wananchi pamoja na wana CCM?

Je, waziri atatumbuliwa? Nini madhara na faida ya tumbua tumbua? Waliotumbuliwa mishahara yao inakoma?

Pia soma:Kuelekea 2025 - DC wa Longido aliyesema alihusika kutengeneza mazingira ya Madiwani kushinda 2020 atenguliwa
Huyo ni mkw.....

Hata kama mmetengua uteuzi wake lakini Marco Ng’umbi kasema ukweli mchungu.

Kauthibitishia Umma mambo matatu-;

1. Kathibitisha kuwa Maccm hatakubaliki,

2. Kathibitisha kuwa maccm huwa yanaiba Kura,

3. Kathibitisha kuwa Serikali huwa inateka watu na kuwatupa kwenye mapori.
 
Back
Top Bottom