milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Mkwe kwa Kiswahili ni Mkaza mwana,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kama anataka kuleta ugomvi ndani ya nyumba yake na mkwe wake...Kwa mfano..
Una mtumbuaje anae mpa raha mwanao. Yaani starehe ya mwanao uifukuze kazi??
Ungetutendea haki kwa kutuwekea alichosema waziri ambaye pia ni nanilii wa naniliu, hata aseme nini hawezi tumbuliwa!.Nimeona taarifa ya kutuambuliwa DC wa Longido kwa kauli kwamba uchaguzi wa 2020 ulifanywa na dola. Lakini pia Waziri Mchengelwa ametumia kauli hiyo hiyo wakati akizungumza na wananchi pamoja na wana CCM?
Huyo ni mkweZINimeona taarifa ya kutuambuliwa DC wa Longido kwa kauli kwamba uchaguzi wa 2020 ulifanywa na dola. Lakini pia Waziri Mchengelwa ametumia kauli hiyo hiyo wakati akizungumza na wananchi pamoja na wana CCM?
Je, waziri atatumbuliwa? Nini madhara na faida ya tumbua tumbua? Waliotumbuliwa mishahara yao inakoma?
Pia soma:Kuelekea 2025 - DC wa Longido aliyesema alihusika kutengeneza mazingira ya Madiwani kushinda 2020 atenguliwa
Hata kama mmetengua uteuzi wake lakini Marco Ng’umbi kasema ukweli mchungu.Mdomo umepokonya siri ya Ubongo?
Wanaoeleza ukweli wanatangulizwa.Moto hauzimwi kwa petrol bwana
Mkwelima ndio nani tena?Weka video ya mkwelima tuione!