Je, wazungu sio wakazi asilia wa hii dunia?

Je, wazungu sio wakazi asilia wa hii dunia?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
maxresdefault.jpg
kuna vitu vingi vya kushangaza mno, ambavyo kutokana na kutwezwa na mahangaiko ya dunia tunakosa muda wa kuvitafakari
1. Dunia ya Mungu ilikuwa mashariki ya kati?
Hapa ndio kama Mungu alipatambua kama uumbaji wake! Si kwamba hakukuwa na maisha mengine la hasha yalikuwepo! Soma habari za Lilith au Kaini kwenda kuoa 'huko kwingine' baada ya kumuua ndugu yake!

2.Dini zote zinazoamini katika uwepo wa Mungu asili yake ni mashariki ya kati, hata katika misahafu tunachosoma kwa sehemu kubwa sana ni habari za mashariki ya kati..
Habari na matukio makuu ya dunia yote ni hapo
- Bustani ya Eden
- Mnara wa Babel
-Gharika ya Nuhu
-Sodoma na Gomorah etc etc

Kuna mahali kwenye kitabu cha Mithali tunaaswa kutafuta elimu hata mpaka China! Kwa hiyo hii ilikuwepo pia

3. Historia ya mzungu haiandikwi popote (I may be corrected) ama inaandikwa kwa uchache! Africa ilijulikana kwa Mungu(aliitambua pia) soma habari za mafarao na mfalme Suleiman na Cheopatra na asili zao!

4. Mzungu ni mvamizi wa dunia( possibly Alien ama mkuzimu) cha kushangaza mno ndio tunamchukulia kama uzao wa Mungu kutokana na yote aliyoyafanya ya kushangaza hapa duniani hasa kwenye tech

Kwa kutumia ufahamu wake na uwezo wake mkuu mzungu amejitahidi kuidanganya na kuiaminisha dunia kuwa yeye ndio kiumbe bora zaidi duniani( haya matangopori wamelishwa wengi na kuvimbiwa)

Kwa kutumia ushawishi wake huo ameweza kuigeuza historia ya dunia na kuweka mapicha yake kutuaminisha
maxresdefault+%281%29.jpg


Mambo yote mabaya yana mkono wa mzungu...mipango ya muda mrefu na ya siri sana ya kutaka kuangamiza uzao wa dunia je ni hofu kuwa wenye dunia yao kuna siku watakuja kuamka na kufunuliwa ukweli?

Hofu ni ya nini mpaka alete utambulisho wa microchips mwilini?

Hofu ya nini mpaka aanzishe projects nyingi za kuleta na kueneza imani zinazopingana na Mungu?
Hofu ni ya nini mpaka yale mambo ambayo ni chukizo mbele za Mungu yeye ayashadadie kwa kiwango cha juu mno?
Hofu ni ya nini mpaka aendelee kuichonganisha na kuipiganisha mashariki ya kati kila uchao?

Utajiri wa dunia (mafuta na madini) kwa sehemu kubwa vinapatikana hapo mashariki ya kati na Africa! Huko kwingine Mungu hakukubariki! Huko ndiko alikotokea Lilith! Huko ndiko asili ya Kaini alikimbilia! Huko ndiko kulikolaaniwa na Mungu ndio maana hawakubarikiwa chochote cha asili (wengi hawatanielewa)
Huko ndiko walikotikea wale wanefili majitu makubwa

Kila kitu kina pande mbili hasi na chanya! Mzungu anajua upande wa hasi ni upi ndio maana haachi kuhangaika na kule kulikobarikiwa

WATASHINDANA LAKINI HAWATASHINDA! MUNGU HAJAWAHI KUSHINDWA
 
Mkuu kwani ulikuwa hujui, hivi unaweza kumlinganisha sizonje na Tony Blair, akitoka Mungu anayefuatia ni mzungu, kama hakuna Mungu basi mzungu ndiye Mungu
8bfc5dd1ef4f2be54a724b9960597130.jpg


naona unataka ulete habari za makinikia[emoji23] [emoji23] [emoji23]
BTW iko hivi dunia inaendeshwa na mashariki ya kati kupitia Israel ( taifa teule?) Na anayetumika kufanya hiyo kazi ni mzungu kwa maelekezo ya Israeli
 
Kihistoria advanced species walikuja na advanced tech, kipindi hicho baadhi ya maeneo yalikua yameungana, hata bahari.

Hivyo nyakati zingine watu wa kale walikua wanatembea kati ya bara na bara.

Mwalimu akaulizwa vipi kuhusu rangi? Kama wote asili ni ile na mtawanyiko ulikuja baadaye mbona wengine wakawa weupe, weusi n.k?
Akajibu stronger species survived, na strength ya kiumbe husika huonekana kwa jinsi gani atakavyoadapt mazingira yake, hivyo yale mabadiliko yaliyotokea ni namna ya kiumbe kuadapt mazingira yake kukisaidia katika survival.

Mabadiliko hayo yanajumuisha rangi.

Kuhusu dini, hata Histori inaikana dini inaihesabu kama kipumbazio kilichotumika kupumbaza watu.
 
Badala ya kuzungumzia kuhusu mzungu nadhani ni bora tuzungumzie ipi haswa ni asili yetu watu weusi?

kila kitu kinaelezwa ndani ya biblia, baada ya gharika ya nuhu ambaye alikuwa na wanaye watatu, ham, shem na sijui yafethi hivi, ikatokea mmojawapo akalaaniwa na baba yao(mzee nuhu) ndio kuanzia hapo huyo mwana aliyemlaani akawa anaitwa 'kushi' maana yake ni black, na huyo ndiye baba wa blacks wote
 
watu weupe wana roho ya kishetani kama asili yao ilivyoo, wanaenda kinyume na mipango ya Mungu kwasababu hawakupangwa kwenye list ya Mungu kutokana na husda zao na wivu basi wanafanya kila jambo kupoteza asili ya binadamu wa kwanza na kushape kila jambo kwenye uongo wao kuanzia habari ya Yesu, na habari za misri zote kijumla

kwaiyo mwisho wa siku kama wewe ukiujua ukweli hata kama kidogo utabaki kuwadharau tu!
vilevile wadau haya mambo yanaitaji ufatiliaji wa vitabu na kuunganisha dot kwenye mambo yanayoteka sasa ndio kupata majibu
 
Badala ya kuzungumzia kuhusu mzungu nadhani ni bora tuzungumzie ipi haswa ni asili yetu watu weusi?,
kila kitu kinaelezwa ndani ya biblia, baada ya gharika ya nuhu ambaye alikuwa na wanaye watatu, ham, shem na sijui yafethi hivi, ikatokea mmojawapo akalaaniwa na baba yao(mzee nuhu) ndio kuanzia hapo huyo mwana aliyemlaani akawa anaitwa 'kushi' maana yake ni black, na huyo ndiye baba wa blacks wote

CC. Mshana Jr naomba unisaidie kumpa elimu jamaa kuhusu asili ya watu weusi kupitia 'kushi'
Ngoja tumalize hili nitakuja na hilo la KUSH ila hatupaswi kujidharau (hii ni matokeo ya yale matango pori tuliyolishwa kwa karne nyingi)
 
Back
Top Bottom