Je, wazungu sio wakazi asilia wa hii dunia?

Je, wazungu sio wakazi asilia wa hii dunia?

mshana jr wachina asili yao wapi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mmute mwisho wa siku mnara wa babeli ndio jibu pekee pale Mungu alipowachafulia binadamu usemi ili wapate kuenea juu ya uso wa dunia.Huenda hapo ndipo walipokuja kupatikana mataifa na rika mbalimbali waAsia, waafrika wazungu etc hata ktk tofauti zao za lugha
 
wazungu wanalijua hilo ndio maana wana wivu na ubabe mwingi dhidi ya wacha mungu wa kweli pamoja na kuwachonganisha wao kwa wao lakini bado nema imeendelea kuwashukia kila uchao!
 
Badala ya kuzungumzia kuhusu mzungu nadhani ni bora tuzungumzie ipi haswa ni asili yetu watu weusi?,
kila kitu kinaelezwa ndani ya biblia, baada ya gharika ya nuhu ambaye alikuwa na wanaye watatu, ham, shem na sijui yafethi hivi, ikatokea mmojawapo akalaaniwa na baba yao(mzee nuhu) ndio kuanzia hapo huyo mwana aliyemlaani akawa anaitwa 'kushi' maana yake ni black, na huyo ndiye baba wa blacks wote
Huyo kushi alizaa hao blacks na watu wa wapi?
 
Kweli kiongozi Asili ya ulimwengu ni mashariki ya kati na si vinginevyo.Mitume wote wametoka hapo hakutoka hata mmoja Ulaya wala Amerika wala Africa japo haikuwepo zama hizo.
umedandia treni kwa mbele hebu rudia kusoma uzi kwanza halafu ndiyo ureply
 
8bfc5dd1ef4f2be54a724b9960597130.jpg
naona unataka ulete habari za makinikia[emoji23] [emoji23] [emoji23]
BTW iko hivi dunia inaendeshwa na mashariki ya kati kupitia Israel ( taifa teule?) Na anayetumika kufanya hiyo kazi ni mzungu kwa maelekezo ya Israeli
Naongezea mnofu tu hao hao israelites ndio wanaodhamini mradi wa microchips na vi2 vingine ambavyo vinampinga mungu mfano masons na secret societies nyengine fuatilia habari ya rockerfeller family
 
Badala ya kuzungumzia kuhusu mzungu nadhani ni bora tuzungumzie ipi haswa ni asili yetu watu weusi?,
kila kitu kinaelezwa ndani ya biblia, baada ya gharika ya nuhu ambaye alikuwa na wanaye watatu, ham, shem na sijui yafethi hivi, ikatokea mmojawapo akalaaniwa na baba yao(mzee nuhu) ndio kuanzia hapo huyo mwana aliyemlaani akawa anaitwa 'kushi' maana yake ni black, na huyo ndiye baba wa blacks wote
kwa maana yako blacks tumelaaaniwa NIKISEMA BIBLE INAWABEBA WAZUNGU MNABISHA KWA HERUFI KUBWA!!? huyo mungu wa bible mm simuamini kama anaubaguzi kiasi hiki? yaani abariki weupe aache sisi blacks .
 
Badala ya kuzungumzia kuhusu mzungu nadhani ni bora tuzungumzie ipi haswa ni asili yetu watu weusi?,
kila kitu kinaelezwa ndani ya biblia, baada ya gharika ya nuhu ambaye alikuwa na wanaye watatu, ham, shem na sijui yafethi hivi, ikatokea mmojawapo akalaaniwa na baba yao(mzee nuhu) ndio kuanzia hapo huyo mwana aliyemlaani akawa anaitwa 'kushi' maana yake ni black, na huyo ndiye baba wa blacks wote
Aliyelaaniwa ndo baba wa Misri na Kush
 
Badala ya kuzungumzia kuhusu mzungu nadhani ni bora tuzungumzie ipi haswa ni asili yetu watu weusi?,
kila kitu kinaelezwa ndani ya biblia, baada ya gharika ya nuhu ambaye alikuwa na wanaye watatu, ham, shem na sijui yafethi hivi, ikatokea mmojawapo akalaaniwa na baba yao(mzee nuhu) ndio kuanzia hapo huyo mwana aliyemlaani akawa anaitwa 'kushi' maana yake ni black, na huyo ndiye baba wa blacks wote
Aliyelaaniwa ndo baba wa Misri na Kush
 
Badala ya kuzungumzia kuhusu mzungu nadhani ni bora tuzungumzie ipi haswa ni asili yetu watu weusi?,
kila kitu kinaelezwa ndani ya biblia, baada ya gharika ya nuhu ambaye alikuwa na wanaye watatu, ham, shem na sijui yafethi hivi, ikatokea mmojawapo akalaaniwa na baba yao(mzee nuhu) ndio kuanzia hapo huyo mwana aliyemlaani akawa anaitwa 'kushi' maana yake ni black, na huyo ndiye baba wa blacks wote
Aliyelaaniwa ndo baba wa Misri na Kush
 
Naongezea mnofu tu hao hao israelites ndio wanaodhamini mradi wa microchips na vi2 vingine ambavyo vinampinga mungu mfano masons na secret societies nyengine fuatilia habari ya rockerfeller family
Ni unabii unatimia wanafadhili kwa siri ila mtendaji ni mzungu
 
Nazidi kuchanganyikiwa nikihusianisha uzi huu na ule unaojadili kitabu cha enoki
ila nadhani huu ndo ukweli kwa asilimia kubwa sana, unapojiuliza kuna agenda gani ya wazungu kuenenda kinyume na asili na mapenzi ya MUNGU?

hebu watu warejee ule uzi unaoelezea asili ya israeli, na uwepo wa wayahudi bandia hapo israeli nadhani kuna kikubwa kinaweza kupatikana kwenye fikra za watu.
 
I Someni Quran ndio utajua Mungu ni yupi na nani wa kuabudiwa, na mitume ni ipi na yupi wa kuabudiwa, utajua binadamu alianza vipi na aliumbwa vipi na aliletwa duniani kwa mujibu Upi, na sisi pia tulibadilika katika mataifa tofauti Kivipi, yote hayo yapo katika Quran.

Quran inaeleza past, present and future
 
Back
Top Bottom