Tupendane penzi liwe sawasawaKabisa yaan kila kona pagumu daah pole yao
Tunaomba wasafi waokoe jahazi.
Tupendane penzi liwe sawasawa
Lisiwe nusu na robo kwa kilo
Penzi robo lingine liende kule
Nataka yote mapenzi kwa kilo
Acha kabisa. Nyimbo tamu sana hii
Mpaka natamani niitafunie na chai
Ungeweka na Ommy Dimpoz mdau[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tofautisha tu hata namba za subscribers basi halafu ndio uanze kutafuta mchawi.
Alikiba ana subscribers 258, 458
View attachment 776036
Diamond ana subscribers 1,183,786
View attachment 776037
Kuna watu mna maswali ya kiroho mbaya sana[emoji41] [emoji41]HUO WIMBO KATOA LINI?
Kweli wazee mpo wengi humu jukwaani. Zilipendwa zinarudi sasaHakuna wimbo mzuri kama huu nakuambia.
Sema mkileta za kushindanisha na mafanikio ya watu, ndo mtaona haufai. Lakini kwa mtu anaye feel muziki kama mimi, hakika hapa @Alikiba ameutendea haki huu mdundo na kila wakati maurudia na nyimbo za aina hii huishi miaka mingi na husikilizwa na watu wa lika zote
Mnajiona maboss lady, maboss babyKweli wazee mpo wengi humu jukwaani. Zilipendwa zinarudi sasa
endelea kushangaa maisha ni kushangaanaWewe jamaa huwa una michango nzuri sana kwenye nyuzi kadhaa ila linapokuja suala la ushabiki wa Diamond na Alikiba du! Yaani unajitoa ufahamu kabisa, mahaba yaliyopitiliza kwa Mondi na chuki za dhahiri kwa Kiba. Yaani huwa nashangaa kabisa!
hii inaitwa ngumu kumeza hahaha
Kaokoe jahazi huko...sisi hatuna shida ya promo radio yetu,tv yetu,wasanii wetu,spika zetu,mashabiki wetu...kaongeze views fake youtube hukoKitu kimoja ni dhahiri kwa wafuasi wa Diamond: Alikiba kupewa airtime na media inawauma mno! Hivi mnadhani hao Clouds wamempa hiyo promo bure? Hiyo ni biashara, management ya Kiba wamelipia, kiasi kwamba msanii yeyote akilipa naye anafanyiwa hivyo. Lakini pia hakuna msanii aliyekuwa anapewa promo na mawingu kama Mondi! Mbona wakati huo hakukua na lialia kama hii?
liver vs r.madrid nan atashinda?Kiwanja kinauzwa kipo Tegeta Nyakasangwe, karibu na shule ya NuruNjema nursery & Primary school.
Kiwanja kimepimwa ila hati bado hatujakabidhiwa, kuna nyaraka za serikali za mitaa.
Urefu wa kiwanja ni mita 37
Upana wa kiwanja ni mita 23
Bei 19M.
PM kwa serious buyers
Karibuni
View attachment 776312View attachment 776314
Mimi naona wataamua kupika pilau tuliver vs r.madrid nan atashinda?
kachemka kweki bonge la boko,kuanzia jina hadi mistari uliskia wapi wimbo unaitwa mvumo wa radi teh teh tehkidoogo hii kiki ya kuganda kwa views inaweza kumsogeza mbele kdg bwana King....ila nimeamini zaidi kam hii ngoma ni boko baada ya da mange kukiri kwamba hii ngoma imeflop japo with lot of justifications...lkn nae nahisi alikuwa ana duku duku kwamba mara hii King kawaangusha but kaamua alitoe duku duku kwa njia ya hekma na busara kdg.
mbezi nako kumekubwa na mafuriko¿Mimi naona wataamua kupika pilau tu
Maana yake Alikuwa ana cheat either ni timu yake au mashabiki wake hivyo you tube wameondoa fake views zote na kitakacho fata kama Alikiba ata andikiwa barua ya onyo akiendelea atafutiwa account yake kabisaIla hapa kuna tatizo kubwa....haiwezekan leo saa 8 mchana views ziwe 780 na kitu then siku hiyohiyo juon ya saa 12 views zishuke hadi 750 na kitu???? Hapa kuna tatizo walah........View attachment 776358