Je, WCB wanahusika kumhujumu Ali Kiba you tube, views kuganda?

Je, WCB wanahusika kumhujumu Ali Kiba you tube, views kuganda?

Kumbe ukiishia katikati ya video YouTube view haihesabiwi ni sawa na kutumia kondomu au kutomfikisha demu kileleni atahesabu hujamla.
 
Kumbe ukiishia katikati ya video YouTube view haihesabiwi ni sawa na kutumia kondomu au kutomfikisha demu kileleni atahesabu hujamla.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],siyo hvyo tu,,ni kama ticha amepanga akufumue stiki 6 halafu anafika ya 5 unashika tako,,hapo anahesabu amefuta,,,na ndo walichofanya youtube..
 
Ni takribani sasa masaa 16 views za wimbo wa Ali kiba zimesimama na hazibadiliki , zinasoma laki saba na ushehe kwa takribani saa 16. Kiufupi zimeganda na si kwamba haiangaliwi no inaangaliwa lakini count haiongezeki.
Sote tunajua Bifu kati ya Ali kiba na WCB, sasa je inawezekana wcb ndio inayomhujumu Ali kiba you tube.???
Basi hata kama c wcb moja kwa moja inawezekana hata shabikibwa wcb akafanya hujuma hiyo, kwa maana ali kiba ametumia pesa mingi kutengeza bolingo yake ya congo lakini ndo hivo hujuma.
Asanteni nawasilisha
kwa namna moja au nyingine ww ni shabiki wa upande ule kwahiyo umeandika nyuzi hii ili uone muitikio wa unachokiita hujuma,
 
Kuna umuhimu wa kujiuliza swali sahii je uhuo wimbo unastahili hizo views ? wimbo wa kwangaru japokuwa haupigwi mawingu studio ila kirasehemu unasikika,please tuache ushabiki tumwambie kaka afanye kazi
 
Mimi nilianza kuona huyu Ali Kiba anashida baada ya kutumia mamilioni kurusha ndoa yake kwenye television. Huu ni ujinga.
 
Kuna umuhimu wa kujiuliza swali sahii je uhuo wimbo unastahili hizo views ? wimbo wa kwangaru japokuwa haupigwi mawingu studio ila kirasehemu unasikika,please tuache ushabiki tumwambie kaka afanye kazi
Mashabiki wa wcb ni wengi kuliko mashabiki wa kiba. Kiba ni mtu mmoja ila wcb ni kundi.

Pia ukiangalia subscribers wa kiba, utafahamu kwanini hana views wengi kwa muda mchache.

Kwa uzuri na ubora wa nyimbo kwa maoni yangu, kiba ameweza kubadilika na kufanya kazi nzuri ya tofauti. Nimeuelewa sana [HASHTAG]#mvumowaradi[/HASHTAG].

Alafu kingine ni kuwa kiba anajiamini. Anafanya kile anachoamini kinafaa. Haogopi mapokeo ya watanzania. Ndio maana hata video zake huwezi ukakuta nyuchi japo anajua tunapenda mambo hayo. Kiufupi ni kuwa Ali kiba anajielewa
 
Mashabiki wa wcb ni wengi kuliko mashabiki wa kiba. Kiba ni mtu mmoja ila wcb ni kundi.

Pia ukiangalia subscribers wa kiba, utafahamu kwanini hana views wengi kwa muda mchache.

Kwa uzuri na ubora wa nyimbo kwa maoni yangu, kiba ameweza kubadilika na kufanya kazi nzuri ya tofauti. Nimeuelewa sana [HASHTAG]#mvumowaradi[/HASHTAG].

Alafu kingine ni kuwa kiba anajiamini. Anafanya kile anachoamini kinafaa. Haogopi mapokeo ya watanzania. Ndio maana hata video zake huwezi ukakuta nyuchi japo anajua tunapenda mambo hayo. Kiufupi ni kuwa Ali kiba anajielewa
Acha kudanganya kama haogopi mapokeo ya watanzania kwanini alalamike kuhusu views?
 
Mashabiki wa wcb ni wengi kuliko mashabiki wa kiba. Kiba ni mtu mmoja ila wcb ni kundi.

Pia ukiangalia subscribers wa kiba, utafahamu kwanini hana views wengi kwa muda mchache.

Kwa uzuri na ubora wa nyimbo kwa maoni yangu, kiba ameweza kubadilika na kufanya kazi nzuri ya tofauti. Nimeuelewa sana [HASHTAG]#mvumowaradi[/HASHTAG].

Alafu kingine ni kuwa kiba anajiamini. Anafanya kile anachoamini kinafaa. Haogopi mapokeo ya watanzania. Ndio maana hata video zake huwezi ukakuta nyuchi japo anajua tunapenda mambo hayo. Kiufupi ni kuwa Ali kiba anajielewa
Mtu asiyeogopa mapokeo anashinda simu nzima kwenye media kupromote kazi yake?
 
Hiyo lawama apewe Ruge na mashabiki wa Kiba, haiwezekani mbwembwe zote hizi za kupamba wimbo na kutoa povu msanii akiksolewa halaf hawaangalii wimbo kwa You tube. Put your money where your mouth is.
Pia kitendo cha kina Diaomond kuto leta kituko chochote ku block wimbo nadhan kime fanya mzuka usiwe mkubwa may be. Nadhani WCB walijifunza kwenye ile ishu ya kipindi cha seduce me.

Kwa wale tusio na timu tunaendelea kuangalia tuu huku tunakula diamond karanga tunakunywa na mofaya.
Mic u cousin
 
We unahisi wcb wanauwezo wa kufanya youtube count zisihesabike?
Hehehe! watu mna matatizo kichwani duh. Kama hazipandi sababu ni moja tu, hakuna mtu anaangalia basi.
 
Akili za Mange bhana, eti hata Nicky Manaj kaflop. Kweli? Katoa ngoma 6 days ago, leo imegonga views milioni 26, anataka kumfananisha na huyu Bwana harusi?
Mange hana akili.. Anajaribu kutetea kibusara kwa points hewa
 
Back
Top Bottom