Kwani mitume na manabii wa miujiza unadhani Biblia zao zinatoka wapiJe umewah kuona mganga anatumia biblia kutibu............
Huyu haendi kutafuta utajiri, anaenda kupata mvuto wa biashara yake ili auze biashara isife. Dawa ya mvuto ni tofauti na utajiri, hii unasaidiwa biashara yako iendelee vizuri as in you dont get rich and you will never be broke. Hapo kati kati yaaniMganga katu hawezi mpa utajiri ndugu yake sababu hayupo tayari kumpoteza ndugu yake,anajua madhara ya utajjri huo
Nenda ukasaidike, changamoto siku hizi ni kupata mganga wa kweli tu maana wengi wa uongo. Ila vijijini huko unapata na wanakusaidia kabisa. Hawa waheshimiwa wenyewe tunapishana nao huko kwa wataalam. Wengine tunalala nao kabisa kambini, hahaKuna nyakati unaweza kupitia katika biashara yako ambapo unaona unaelekea kuanguka vibaya sana na bado unafamilia na bills nyingine. Inaweza kuwa sio usimamizi mmbaya ila labda ni factors za hali ya kiuchumi na factors nyingine ambazo hata wewe haulewi mambo yamekuharubikiaje.
Inapelekea sasa hauna jinsi na inabidi uende kwa mganga asaidie ku-boost baishara yako. Vp ulifanikiwa?, tupatie story.
Mwanangu mmoja alifanikiwa lakini alipita sehemu nyingi Sasa haijulikani Nani alikuwa zaidi kati ya waganga aliopitaKuna nyakati unaweza kupitia katika biashara yako ambapo unaona unaelekea kuanguka vibaya sana na bado unafamilia na bills nyingine. Inaweza kuwa sio usimamizi mmbaya ila labda ni factors za hali ya kiuchumi na factors nyingine ambazo hata wewe haulewi mambo yamekuharubikiaje.
Inapelekea sasa hauna jinsi na inabidi uende kwa mganga asaidie ku-boost baishara yako. Vp ulifanikiwa?, tupatie story.
🤣🤣🤣aiseeNdio! Mimi biashara imekuwa kubwa, Na nimekukwaa ubunge pia, mganga wangu amenambia ninaweza kuukwaa Uprezda wa hii Jamuhuri iliyochoka ila masharti yake magumu sana...
AIseeeNenda ukasaidike, changamoto siku hizi ni kupata mganga wa kweli tu maana wengi wa uongo. Ila vijijini huko unapata na wanakusaidia kabisa. Hawa waheshimiwa wenyewe tunapishana nao huko kwa wataalam. Wengine tunalala nao kabisa kambini, haha
Hutaki kuwa mbunge na hatimaye waziri?.🤣🤣🤣aisee