Hawa waganga wanaolalia ngozi ndo wakupe ww utajiri? Unadhani kuna mtu hapendi fedha au anapenda kuishi mazingira magumu tu? Afu hata ukipata utajiri wao waga ni wa muda tu lazima cha moto [emoji91] ukione.. You must regret it and pay the debt in pain and blood.
Utajiri upo kwa Mungu sema mpaka ukafikie neema zake mpaka usote kweli kweli ila kuna machaguo yake Mungu miongoni mwetu wao ni ganda la ndizi tu kwenye haya maisha kila jambo wanalofanya la mafanikio basi linaenda kwenye mstari bila kutumia nguvu wala kupoteza muda mwingi...
Mungu anatupenda sote ila kuna anaowapenda zaidi/wateule wake hili hatuwezi kulizuia, hata ww kama baba ukiwa na watoto wengi lazima utakua na the top priority ya watoto wako watakao faidi peremende, mapenzi ya kua karibu nao na kila aina ya toleo la nguo ila japokua damu yako yote utaipenda ila si wote utawahudumia equally...