Je wewe hapa JF unampenda nani(Sio kimapenzi)

Yamekuwa hayo jomonii[emoji6] [emoji6]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nawapenda wengi sana Ila kwakuwa sharti ni mmoja basi sinabudi kuipenda jamiiforums maana ndio chanzo cha hao niwapendao!
 
Love u too...

Wenyeji wng wa humu ndani
 
Hivi kumbe Mimi nimelala napigwa na baridi wewe ulikuwa huku???
Sasa basi Leo hamna chai nenda kazini hivyo hivyo...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ndo mbadala wa baba p my dear,siku ukichooshwa huko please close to me!......Am here waiting for you now and then japo sina uhakika kama chura ipo!![emoji30][emoji30]
 
Mimi ndo mbadala wa baba p my dear,siku ukichooshwa huko please close to me!......Am here waiting for you now and then japo sina uhakika kama chura ipo!![emoji30][emoji30]
Chura ndiyo nini? Wapo kwenye matindiga huko..ha ha ha
Baba P hana mbadala, hata nikimchoka namvumilia tuu na kumpa adhabu ndogo ndogo, kama kumnyima papuch, kumnunia, kubadili password zake za jf nk.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…