Yaani Ni shida( in Sumaye Voice)Kuna Uzi kaanzisha (jukwaa la siasa) Kuhusu Ombwe la uongozi. Wanapeana za USO.
Utadhani Juliana hajawahi kuwa Chadema.
Yamekuwa hayo jomonii[emoji6] [emoji6]Jamani nawapenda wote jf ila kuna msichana mmoja nahisi kaumbwa ajili yangu.
Mpole, mcheshi, hajui kununa daah basi tuu!
Hata niwe nimechukia au huzuni baasi nabaki na furaha moyoni..
Sio mwingine ni Msichana wangu wa kwanza na wa pekee Jf,
Miss Jf na Wa dunia yangu ya upendo
Si mwingine ni joanah
I love you J, I need you J
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndio najiandaa kulala hapaLala Sasa..... Usije fumwa
Thank you.Nilitaka kuwaita wote Pm[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Love u too...Baby Mondray
STUNTER na wifi yangu jje's
Bebe Behaviourist
Daby
The Boss
mshana jr
tamuuuuu
Uncle Hance Mtanashati
QUIGLEY
Wambeke
BIGstallion
Saint Ivuga
Azarel
Asprin
Compact
Miss Chagga
Miss Natafuta
husna muba
Antonio de Guzman
UWOGA=UMASKINI
Eddy Love
Shunie
Michaelray22
Numbisa
Paprika
Inna
Valentina
Chief Engineer
emmyta
Jovitha
Ambiere
Nawapenda wengi sana humu
Haaahaa. Asante. Dah. Nasubiri ucku wa manane.Haha ipogolo rafk angu nakupenda sana
Hata mie nakupenda mnoo Alepo Mungu akupe maisha marefu swahibaMimi nampendaga sana huyu ukhuty
hanaga maneno na mtu, hana ugomvi na mtu huku alafu mpole hana maneno makali kama wewe hapo Hello. Zake ni kufurahi tu sijawahi kumuona mgomvi
popote alipo namuombea Mungu mafanikio tele na aendelea kuwa hivyo hivyo
Ahsante sana best. [emoji120] [emoji120]Cc emmyta, shunie kibonge, Linamo etc
Ahsante sana shoga angu. Mi pia wanikosha sana weye ujue japokuwa unaonekana kwa mikatiko.Shimba ya buyenze,Emmyta, espy, shunie, daby, emoji, na wengine woteee
Hivi kumbe Mimi nimelala napigwa na baridi wewe ulikuwa huku???Umenifanya nifukunyue mafaili aiseeeee. Sema nimesha unganisha dots. Huko juu dishi lilikuwa limeyumba.
Mimi ndo mbadala wa baba p my dear,siku ukichooshwa huko please close to me!......Am here waiting for you now and then japo sina uhakika kama chura ipo!![emoji30][emoji30]Hivi kumbe Mimi nimelala napigwa na baridi wewe ulikuwa huku???
Sasa basi Leo hamna chai nenda kazini hivyo hivyo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mapinduzi baridi.Mimi ndo mbadala wa baba p my dear,siku ukichooshwa huko please close to me!......Am here waiting for you now and then japo sina uhakika kama chura ipo!![emoji30][emoji30]
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]Hivi kumbe Mimi nimelala napigwa na baridi wewe ulikuwa huku???
Sasa basi Leo hamna chai nenda kazini hivyo hivyo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Chura ndiyo nini? Wapo kwenye matindiga huko..ha ha haMimi ndo mbadala wa baba p my dear,siku ukichooshwa huko please close to me!......Am here waiting for you now and then japo sina uhakika kama chura ipo!![emoji30][emoji30]