Je wewe hapa JF unampenda nani(Sio kimapenzi)

Je wewe hapa JF unampenda nani(Sio kimapenzi)

Nawaombeni Leo tufanye Karesearch kidogo lengo kuwatambua wenzetu wenye michango chanya Na kujenga
Kwa kutaja jina 1 tu.Kwa unayehisi anakugoga moyo wako kwa michango yake Na kukusaidia kifikra Na hata kukufumbua macho hata kuburudisha Na kuliwaza Na kuelimisha.
Atakayetajwa sana ndo mshindi naamini atajisikia vizuri Na kuzidi kutuelimisha Na kutuburudisha.
Please jina 1 tu.

mimi (wapo wengi but kwa kuwa ni sharti tumtaje 1.namtaja
BAK.

Sent using Jamii Forums mobile app
Namtaja Papy Kabamba Tshishimbi[emoji122][emoji122]
 
Nampendaga sana naniliua.
Tatizo simuonagi hewani siku hizi

Sent by Bilionea ASIGWA mutu ya hela Mingi
 
Kuna watu humu ndani nawapendaga sana hasa ucheshi wao na namna ya upana wa akili zao na inaonekana hata kwenye brain wako smart sana

1)Evelyn Salt
2)Nahuja
3)Mulhat Mpunga.
4)Demba
5)Miss Chagga.
6)Mchumba

Wengine wa kiume, kwa kuwa kumsifia mwanaume mwenzako kibongo bongo ni mwiko, acha niishie hapo

Sent by Bilionea ASIGWA mutu ya hela Mingi
 
....washika mapembe katika ubora wao....🙂
 
Back
Top Bottom