je, wewe ni Mliberali au Mhafidhina?

je, wewe ni Mliberali au Mhafidhina?

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
liberals vs conservatives
waliberal wanaamini katika uhuru wa mtu binafsi, kila mtu ana uhuru wa kufanya kile anachoweza kufanya as long as hawadhuru watu wengine. walibaral wanaamini katika culture diversity, mjumuiko wa watu wa rangi tofauti tofauti na kaliba tofauti nk, ingawa wanaenda mbali zaidi hadi kusupport mambo kama lgbtq na abortion.

kwa upande wa conservative, wao waaamini katika kulinda mila na desturi. si watu wanaopenda sana mchanganyiko wa mila, na desturi za watu wengine, wanaamini matendo ya mwanadamu ni lazima yathibitiwe na si kila mwanadamu kua na uhuru wa kufanya jambo lolote hata kama halidhuru wengine.

Ingawa sikubaliani na mambo ya lgbtq+, kwasasa naunga mkono fikra za uliberali.
 
liberals vs conservatives
waliberal wanaamini katika uhuru wa mtu binafsi, kila mtu ana uhuru wa kufanya kile anachoweza kufanya as long as hawadhuru watu wengine. walibaral wanaamini katika culture diversity, mjumuiko wa watu wa rangi tofauti tofauti na kaliba tofauti nk, ingawa wanaenda mbali zaidi hadi kusupport mambo kama lgbtq na abortion.

kwa upande wa conservative, wao waaamini katika kulinda mila na desturi. si watu wanaopenda sana mchanganyiko wa mila, na desturi za watu wengine, wanaamini matendo ya mwanadamu ni lazima yathibitiwe na si kila mwanadamu kua na uhuru wa kufanya jambo lolote hata kama halidhuru wengine.

Ingawa sikubaliani na mambo ya lgbtq+, kwasasa naunga mkono fikra za uliberali.
Mimi ni mliberali haswaa
una swali lingine?
 
liberals vs conservatives
waliberal wanaamini katika uhuru wa mtu binafsi, kila mtu ana uhuru wa kufanya kile anachoweza kufanya as long as hawadhuru watu wengine. walibaral wanaamini katika culture diversity, mjumuiko wa watu wa rangi tofauti tofauti na kaliba tofauti nk, ingawa wanaenda mbali zaidi hadi kusupport mambo kama lgbtq na abortion.

kwa upande wa conservative, wao waaamini katika kulinda mila na desturi. si watu wanaopenda sana mchanganyiko wa mila, na desturi za watu wengine, wanaamini matendo ya mwanadamu ni lazima yathibitiwe na si kila mwanadamu kua na uhuru wa kufanya jambo lolote hata kama halidhuru wengine.

Ingawa sikubaliani na mambo ya lgbtq+, kwasasa naunga mkono fikra za uliberali.
Mimi mliberali misiyeunga mkono maswala ya lgbto na ortion
Mengine yote sawa tu

Sifungamani na kabila Wala rangi Ndo maana naunga mkono tz wahindi, wasomali waarabu hata wazungu wapewe nafasi nyeti za utawala i kutawali nchi hii ili tupate maendeleo.

Sisi waliberali tulimkubali Obama akawa raisi wa mmarekani tumemkubali sunak ni waziri mkuu wa uingereza,

Hapa kwetu tukubali wale waliokuwa hizibu kule zenji wapewe nasafi kutawala zehji, Yale mambo ya mapinduzi daima yamepitwa na wakatii
 
Back
Top Bottom