Je, wewe ni mtoto wa kwanza katika familia: Fahamu jinsi Potential yako inavyowindwa ili uharibike

Nje ya mada.
what's your profession.?
u so deep mate
 
Nje ya mada.
what's your profession.?
u so deep mate
Mkuu Da'Vinc: mtu anaandika story ndefu isiyo na mashiko. Nilichogundua nikwamba anajaribu kuwatoa watu kwenye mstari ili watu wamjadili yeye badala ya hoja.

Nafikiri hakuna mtu humu aliyemaliza kusoma alichoandika.

Usikwazike Mkuu kwani hata Mitume wako waliowapinga. Hivyo wewe songa mbele.
 
Ahsante mkuu..
Bandiko lake refu mno
nitajitahidi kusonga hvyo hvyo japo waja wanakatishana tamaa
 
Ukiondoa sababu za kuza nje ya ndoa. Vipi kama kama mke wa kwanza wa mke amefariki mzee akaoa mke mwingine na kisha akapata watoto wengine....hapo kutakuwa na mtoto mwingine wa kwanza kwa mama yake.
 
Tatizo malezi tu!
Wanadekezwa sana
Hawakatazwi wakikosea
Hupewa cha uvunguni
Baadae mnadai wanazongwa na mapepo, huu ni uongo...... first born pambaneni sana la sivyo wazazi wengi wanaowadekeza wakishafariki hakuna rangi mtaacha kuona
 
Tatizo malezi tu!
Wanadekezwa sana
Hawakatazwi wakikosea
Hupewa cha uvunguni
Baadae mnadai wanazongwa na mapepo, huu ni uongo...... first born pambaneni sana la sivyo wazazi wengi wanaowadekeza wakishafariki hakuna rangi mtaacha kuona
Kuna watoto wanaodekezwa kama last born. ..?
 
Ukiondoa sababu za kuza nje ya ndoa. Vipi kama kama mke wa kwanza wa mke amefariki mzee akaoa mke mwingine na kisha akapata watoto wengine....hapo kutakuwa na mtoto mwingine wa kwanza kwa mama yake.
Ndio atakuwepo Ila bado kuna mtu kwenye familia ambae ni mkubwa kuliko hao wemgine. Swala dogo tu Unakumbuka yakobo/Israel alizaa na wake wangapi.? Ila mkubwa alikua mmoja tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…