Je, wewe ni Mzaliwa wa Kigoma? Fanya haya ili uraia wako usitiliwe shaka yoyote na wabaya wako

Embu naomba nikujibu mm na nitakujibu kwa kuuliza maswali,

Je unafahamu kama kigoma IPo karibu na Kongo?
kiukweli nilikuwa sifahamu mpaka nilipo enda kujiridhisha kwa kuangalia ramani. lakini mbona Kagera wapo karibu na Rwanda lakini kagera wana ka unafuu...awasumbuliwi sana kwenye maswala ya uraia.​
 
1. Ujifunze Kiswahili fasaha.
2. Namba 4 uitamke kama NNE na siyo INNE.
 
Ni kwasababu ya historia ya nchi zilizopakana na mikoa hiyo zote zilikuwa na machafuko hivyo mikoa hiyo ilipokea wakimbizi wengi na wengine waliingia kama wahamiaji Haram na kijichanganya mitaani
shida hapo ni uhamiaji haramu😭😭😭 nawaonea huruma sana ni kama wamepoteza urai😭😭😭😭
 
Sasa hivi Vipi ni Muha! Kuna Wabunge ambao ni wawakilishi wa wananchi wa Kigoma! Wao wanasemaje na wanalionaje hili?

Au na wao wanatiliwa mashaka juu ya Uraia wao?
 
Shida ni muonekano kaka, hao wanafanana huwezi watofautisha kwa macho ila wengine sura zao na pua zao ndefu ndo zinawanyima fursa na kupelekea kubaguliwa
Wamasai wa Tz na Kenya wanatofauti gani? umewahi kuona masai anahojiwa uraia wake au mwarabu yoyote? nadhani kuna shida zaidi
 
Wewe kama ni mkimbizi rudi kwenu tu na hasa ukiwa ni Mnyarwanda na Mrundi ndiyo kabisaaa
 
Hata wewe ni Mushuti tu ndiyo maana unajikombakomba kwa ccm
Uliiona spichi ya Chongolo alivyosema kwamba Mbowe babu zake ni watu wa Nyeri?

Heche ni raia wa Kenya, Isibania huko
 
Kigoma ni kwa sababu ya asili ya wahutu. Ni watu makatili sana. Ujambazi mkubwa Kagera na Kigoma ni wao.
Watusi nao wana ujinga wao ila sio makatili. Hii ndio sababu kuu
 
Mbona wahaya, wachaga, wanyakyusa,wameru, wajita n.k huwa hawasumbuliwi isipokuwa watu wa Kigoma pekee? kuna tatizo mahali
Hili halikubaliki,waulizwe waliowapa hizo nyadhifa za kwenye mamlaka ya maamzi ili wabebeshwe wao zigo na wawataje kwa majina kabisa hao raia wa kigeni.

Vinginevyo hizo ni siasa za majukwaani na siyo utaalamu.
 
Mchanganyiko wa watu wa mipakani, kabila moja kuwa nchi mbili tofauti pia ni faida kwa intelijensia, mawakala wana-move in and out unnoticed.

Na pia kama kabila halivuki mipaka ya nchi, adui akiingia ni rahisi kumjua kwa kuwa atashindwa kujichanganya.

Na pia kama kabila ni crossborder, ni rahisi kwa nchi kupandikiza watu wao kwa nchi jirani.

Wakati wa bifu la JK na Kagame, Kagame alikuwa na watu wake wengi wako Tanzania wanajifanya wafugaji.

Na Tanzania ina watu wake Rwanda mipakani kote, wakifuatilia kama kuna movement zozote za kijeshi mipakani watoe taarifa nyumbani.

The immediate former RC wa Kagera Major General Gaguti, the genious millitary personel, amefanya patrol sana katika border za mkoa wa Kagera, tena kwa miaka mingi kabla ya kuwa RC, anajua mpaka mazalia ya panya na senene maeneo ya mipakani mkoa wa Kagera.
 
Ndugu watu wameishi vizazi na vizazi hawajafanya baya lolote leo unawafananisha na hamasi? Hii chuki imepitiliza sasa
Sija wafanananisha na hamas, halafu ngoja nikwambie kitu hamas unao waona wewe ni magaidi Kuna watu wanaeaona ni wakombozi wao the same hao unaowaona ni wema kwa kua wameishi miaka na miaka Kuna watu wanawaona sio watanzania na bado wanauzalendo na taifa lao la asili hivyo ni Bora wakakae huko huko kwenye taifa lao la asili

No hate ✌️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…